Nilitaka nikuulize swali kuhusiana na hayo masega lakini nimesita kwa kuwa ukilijibu itakuwa kama tunapiga promo ya hiyo biashara.Mkisikia sehemu imepigwa guruneti mjue Mimi
Wabongo wezi wezi sana, hata ukienda na mashine yako salon basi lazima waibe vile 'vitana'