A
Anonymous
Guest
Habari za leo,
Ninatokea Mbezi mtaa wa Luis kitongoji cha Upendo.
Hivi karibuni kumeibuka wizi wa mita za maji hapa mtaani kwetu bila kujua wanaoiba wanazipeleka wapi, Dawasa tumewapa taarifa lakini hawana majibu.
Sasa cha kushangaza hizi mita zina namba zake ambazo ni za usajili. Je, hawa watu wanazipeleka wapi? Ama kuna janja janja za watu wa DAWASA kutuuzia mita nyingine kwa namna hiyo?
Pia soma ~ Albert Chalamila: Sijaridhishwa na hiki mlichofanya DAWASA, pia wanaoiba Mita za Maji washughulikiwe
Ninatokea Mbezi mtaa wa Luis kitongoji cha Upendo.
Hivi karibuni kumeibuka wizi wa mita za maji hapa mtaani kwetu bila kujua wanaoiba wanazipeleka wapi, Dawasa tumewapa taarifa lakini hawana majibu.
Sasa cha kushangaza hizi mita zina namba zake ambazo ni za usajili. Je, hawa watu wanazipeleka wapi? Ama kuna janja janja za watu wa DAWASA kutuuzia mita nyingine kwa namna hiyo?
Pia soma ~ Albert Chalamila: Sijaridhishwa na hiki mlichofanya DAWASA, pia wanaoiba Mita za Maji washughulikiwe