Wizi wa Mita za Maji unazidi maeneo ya Moshono - Arusha, Mtaa wa Nanja, najiuliza wanaenda kuziuza wapi?

Wizi wa Mita za Maji unazidi maeneo ya Moshono - Arusha, Mtaa wa Nanja, najiuliza wanaenda kuziuza wapi?

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
611
Reaction score
567
photo_2024-11-07_11-54-06.jpg

Mimi ni Mkazi wa Arusha - Moshono, Mtaa wa Nanja, huku kwetu kuna tabia ya wizi wa Mita za Maji kiasi kwamba inakuwa changamoto kupata huduma za maji kwa sababu huwezi kujichukulia Mita mtaani ukaweka, lazima iwe imetoka kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA).

Tukienda kuripoti AUWASA wanatuambia tutoe ripoti Polisi kisha tupeleke ripoti kwao kisha tusubiri kurejeshwa kwa maji.

Ninachojiuliza wanapoiba hizi Mita wanaenda kumuuzia nani? Je, kuna mtu anaweza kufunga Mita ya wizi ambayo hajatoka kwenye mamlaka ya maji? Na je inapofungwa Mamlaka kama AUWSA inaweza kuiingiza kwenye mfumo wake wakati tayari Mita hiyo ilishaingizwa kwenye mfumo awali?
 

Mimi ni Mkazi wa Arusha - Moshono, Mtaa wa Nanja, huku kwetu kuna tabia ya wizi wa Mita za Maji kiasi kwamba inakuwa changamoto kupata huduma za maji kwa sababu huwezi kujichukulia Mita mtaani ukaweka, lazima iwe imetoka kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA).

Tukienda kuripoti AUWASA wanatuambia tutoe ripoti Polisi kisha tupeleke ripoti kwao kisha tusubiri kurejeshwa kwa maji.

Ninachojiuliza wanapoiba hizi Mita wanaenda kumuuzia nani? Je, kuna mtu anaweza kufunga Mita ya wizi ambayo hajatoka kwenye mamlaka ya maji? Na je inapofungwa Mamlaka kama AUWSA inaweza kuiingiza kwenye mfumo wake wakati tayari Mita hiyo ilishaingizwa kwenye mfumo awali?
Mimi sikai huko ila nina ndugu yuko Ngukelo. Wao pia wallibiwa mtaa wote. Walichokuwa wanasema ni kuwa mita hizo zina eneo limetengenezwa na shaba halisi, wanaitoa na kwenda kuuza. Sijui hii ina ukwerli kiasi gani. Basi ni afadhali wangezitupa mahali ziokotwe ili zifungwe spea nyingine. Hizo mita huwezi kuzitumia mahalii popote. Zamani mita za Tanesco ilibidi kuzitengenezea cage ya nondo ili isiibiwe. Sijui walikuwa wanazifanyia nini. Maeneo hayo yana vijana wasio na kazi wengi. Walimwibia MPAKA TV MCHANA. Watu wanaogopa kufuga hata kuku.
 

Mimi ni Mkazi wa Arusha - Moshono, Mtaa wa Nanja, huku kwetu kuna tabia ya wizi wa Mita za Maji kiasi kwamba inakuwa changamoto kupata huduma za maji kwa sababu huwezi kujichukulia Mita mtaani ukaweka, lazima iwe imetoka kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA).

Tukienda kuripoti AUWASA wanatuambia tutoe ripoti Polisi kisha tupeleke ripoti kwao kisha tusubiri kurejeshwa kwa maji.

Ninachojiuliza wanapoiba hizi Mita wanaenda kumuuzia nani? Je, kuna mtu anaweza kufunga Mita ya wizi ambayo hajatoka kwenye mamlaka ya maji? Na je inapofungwa Mamlaka kama AUWSA inaweza kuiingiza kwenye mfumo wake wakati tayari Mita hiyo ilishaingizwa kwenye mfumo awali?
Nasikia wanazifunga kwenye bodaboda.
 
Kuna kiwanda kimefunguliwa ungalimited kinatengeza material yanayotokana na material ya MITA za bomba za maji , hivo wanachukua wanayeyusha na kutengeneza vitu vingine ikiwemo Pete mikufu bangili n.k, labda serikali iangalie uwezekano wa matumiz ya plastic katika miundombinu ya maji.
 

Mimi ni Mkazi wa Arusha - Moshono, Mtaa wa Nanja, huku kwetu kuna tabia ya wizi wa Mita za Maji kiasi kwamba inakuwa changamoto kupata huduma za maji kwa sababu huwezi kujichukulia Mita mtaani ukaweka, lazima iwe imetoka kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA).

Tukienda kuripoti AUWASA wanatuambia tutoe ripoti Polisi kisha tupeleke ripoti kwao kisha tusubiri kurejeshwa kwa maji.

Ninachojiuliza wanapoiba hizi Mita wanaenda kumuuzia nani? Je, kuna mtu anaweza kufunga Mita ya wizi ambayo hajatoka kwenye mamlaka ya maji? Na je inapofungwa Mamlaka kama AUWSA inaweza kuiingiza kwenye mfumo wake wakati tayari Mita hiyo ilishaingizwa kwenye mfumo awali?
Sheikh jumaa aweso upo
 

Mimi ni Mkazi wa Arusha - Moshono, Mtaa wa Nanja, huku kwetu kuna tabia ya wizi wa Mita za Maji kiasi kwamba inakuwa changamoto kupata huduma za maji kwa sababu huwezi kujichukulia Mita mtaani ukaweka, lazima iwe imetoka kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Arusha (AUWSA).

Tukienda kuripoti AUWASA wanatuambia tutoe ripoti Polisi kisha tupeleke ripoti kwao kisha tusubiri kurejeshwa kwa maji.

Ninachojiuliza wanapoiba hizi Mita wanaenda kumuuzia nani? Je, kuna mtu anaweza kufunga Mita ya wizi ambayo hajatoka kwenye mamlaka ya maji? Na je inapofungwa Mamlaka kama AUWSA inaweza kuiingiza kwenye mfumo wake wakati tayari Mita hiyo ilishaingizwa kwenye mfumo awali?
Hizo unaenda kuuziwa kwa mara ya pili.
 
Back
Top Bottom