Jamani kuna habari zimezagaa mjini kuwa kuna mikopo inatolewa Akiba Commercial Bank, katika pita pita zangu kuna jamaa wameweka namba zao za simu kwamba watu wanatuma pesa za kujiunga na walioweka pesa wote wameliwa.
Kuna link ii apa lakini iyo namba ya Voda si ya ACB
http://akibacommercial-bank.wapka.mobi/index.xhtml
Na katika pita pita kwangu nimekutana na izo attachment jamaa wanatoa namba zao za kutuma izo pesa ambazo katika kuzilinganisha ni namba za simu tofauti na zina majina tofauti ya Izo tigo Pesa na Mpesa. Sasa nataka udhibitisho namba za kweli ni zipi.
Cha Kushangaza zaidi, inakuwaje mpaka sasa hawa jamaa hawajakamatwa na ukipiga simu zao zinapokelewa?
Na inakuwaje Mitandao ya simu iruhusu watu wasajili namba zao kwa kutumia majina ya Kampuni na mpaka leo izo account zinafanya kazi???
Izo picha apo chini hatujui ukweli uko wapi manake kina website imetoa namba zake za tigo/M-pesa kwa ajili ya mkopo huo huo.
Unaweza kusoma zaidi kupitia link izi apa chini:
1- HANDENI KWETU: Zitto Kabwe, aingizwa mtegoni kwa wizi wa mtandaoni?
2- http://akibacommercial-bank.wapka.mobi/index.xhtml

Kuna link ii apa lakini iyo namba ya Voda si ya ACB
http://akibacommercial-bank.wapka.mobi/index.xhtml
Na katika pita pita kwangu nimekutana na izo attachment jamaa wanatoa namba zao za kutuma izo pesa ambazo katika kuzilinganisha ni namba za simu tofauti na zina majina tofauti ya Izo tigo Pesa na Mpesa. Sasa nataka udhibitisho namba za kweli ni zipi.
Cha Kushangaza zaidi, inakuwaje mpaka sasa hawa jamaa hawajakamatwa na ukipiga simu zao zinapokelewa?
Na inakuwaje Mitandao ya simu iruhusu watu wasajili namba zao kwa kutumia majina ya Kampuni na mpaka leo izo account zinafanya kazi???
Izo picha apo chini hatujui ukweli uko wapi manake kina website imetoa namba zake za tigo/M-pesa kwa ajili ya mkopo huo huo.
Unaweza kusoma zaidi kupitia link izi apa chini:
1- HANDENI KWETU: Zitto Kabwe, aingizwa mtegoni kwa wizi wa mtandaoni?
2- http://akibacommercial-bank.wapka.mobi/index.xhtml