Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Tunairudushaje?
Inasafishwaje?
Au mpaka kilingeni kwako.?
Inasafishwaje?
Au mpaka kilingeni kwako.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuelezee kufubaishwa nyota na wake zetuWIZI WA NYOTA
Karibu binti na mwana wa Afrika.
Sehemu ya pili.
Post iliyopita nilikujuza jinsi wezi wanavyopima nguvu ya nyota yako.
Na nilikuanzia katika kisa cha Biblia.
Leo nahamia katika uhalisia.
Nyota ndiyo imebeba hatima ya kila mtu.
Hivyo kila mtu na kila kitu kina nyota yake. ( mfano ngekewa, nyoka, kinyonga, Bundi, kuku,nk.)
Freemason, wanajua nguvu na umuhimu wa nyota ya kila kitu, ndiyo maana huwezi kujiunga/ kukuunga kama nyota yako haieleweki.
Asiye amini Freemason ipo na ndiyo inayocontro Dunia na wenye vipawa, ( vipaji/nyota ). Akasikie wimbo wa paschal Kasiani.
Freemason ndiyo walioshikilia mifumo yote ya kuitawala Dunia, iwe kidini, kisiasa, achilia mbali uchumi na sanaa.
Siri ya Nyuma kwa wanaotamani kujiunga, Hiki chama hakitoi hela kama wengi wanavyodhania, bali wanakufundisha jinsi ya kumudu maisha kwa kipawa ulichonacho, yaani nyota yako.
Maeneo ambayo ndiyo hasa hutumika na wezi wa Nyota.
Ni katika misaada.
Wezi wa nyota hutoa misaada ya bila masharti katika raha.
Ukiona mtu fulani anapenda kukusaidia, eneo la mtaji, eneo la sherehe, lakini eneo la msiba magonjwa haonekani. Chunga anaweza akawa.
Ndiyo maana huji kusikia Tajiri, maarufu, Kaenda kutoa msaada msibani, Hospitali, Maeneo hayo ni magumu kununua nyota.
Ndiyo maana uji kusikia sumu imeuwa watu, msibani na katika sherehe za kijamii.
Ukiona mtu anataka kujua sana, habari za biashara yako hasa upande wa mauzo. chunga anaweza akawa.
Ukiokota pesa njiani, usijione ni mwenye bahati. Nyingine zimetegwa na nakusihi, Usiwahi jaribu kuichanganya na mtaji kwa namna yoyote.
Wenye bahati huwa hawazioni, wala kuokota. Ukiwa naye atakwambia okota wewe.
Ukiona mtu kama msanii, kakupa msaada wa mtaji. Kamwe usiifanye kuwa mtaji, utauza nyota.
Wasanii wengi hugawa pesa, ambazo si zao.
Kuna Majitu yana pesa nyingi freemason, hivyo yanaweza kumtumia msanii kusambaza hizo fedha. Kwa lengo la muhusika kuwa ameuza nyota.
Jiulize hao wasanii wanaogawa pesa, hawana watu muhimu.
Unafanya biashara inaenda vizuri kisha anakuja mtu anakwambia, eidha nikuongezee mtaji, au tuchange mtaji na mwisho wa siku tutagawana mtaji. chunga si wote wana lengo hilo.
Ukiona mtu anakuja katika Biashara yako na kutaka kukuongezea mtaji, labda kwa sababu kaona una mtaji mdogo. Utauza nyota.
Kubwa zaidi na Gumu.
Kamwe usichukue mkopo wa aina yoyote ili ukaanze Biashara hata kama mkopo hauna riba.
Kila pesa ya mtu inaendana na jasho la mwenye pesa. Haiwezi ikakupa matokeo.
Wengi ambao hizo pesa zinaleta matokeo, wanazipandisha thamani kwa damu za watu.
Wewe unapotafuta pesa, huwa una mipango, hiyo mipango ndiyo, manuizo yako, na wengine hunuiza kabisa.
Na wengine si kunuiza kwa uzuri, ni kwa kila pesa yake inapopita itavuta pesa nyingine. Mtu huyo akikupa pesa yake uwezi fanikiwa wewe, yeye ndiye anafanikiwa.
Tukirudi katika Maandiko, Kutoa sadaka ni kuhitaji upendeleo toka kwa Mungu, Ndiyo maana wanaojua hilo kila sadaka atakayo toa atahitaji baraka za pesa ambayo hakutoa.
Hilo kila mtu analo iwe kwa kujua au kwa kutojua.
Kwani we ukitoa sadaka msikitini/kanisani unataraji nini?.
Wengine wapo mbali zaidi, wamatoa sadaka ya mtu, ili kupata pesa.
Hitimisho:
Aliyeuza nyota, ni ngumu kupata fedha ya ziada, sababu Mungu anajua unahitaji kula ili uishi.
Aliyeuza nyota, hupata pesa sawa na tatizo lililopo mbele yake.
Na utokea hivyo eneo la Tukio.
Yaani utaangaika kutafuta pesa ya marejesho, magonjwa, ila unaweza kuipata siku mgonjwa anakaribia kufa, au siku ya marejesho.
Utafanyaje kama upo katika haya.
Mungu ndiye wa kwanza, katika hili.
Muombe wewe kama wewe, akusamehe na kukutakasa.
Kama una madeni weka lengo la kulipa na hata ukiweza lipa.
Usiogope kuanza upya kwa fedha yako mwenyewe.
Kisha utachukua ndimu moja.
Kama we ni wa meditation kaa kama una meditate, kama siyo, kaa mkao unaotumia kusali, kama siyo kaa katika kiti cha asili.
Kata hiyo ndimu kati kati, kisha shika kila mkono mmoja kipande kimoja.
Kisha Muombe Mungu wako aliyeumba Ndimu abariki nguvu zilizo katika ndimu zikusafishe.
Maji ya ndimu nayo yana nguvu za kuchukia uchafu, wako kama ulisemewa vibaya, kama ulifungwa, kama ulifubaishwa nyota. Vyote vinakutoka.
( Somo langu lilikuwa kuuza nyota kufubaishwa ni jambo lingine, Hili hufanywa na wake zetu, ingawa nalo linamahusiano na bahati/ mvuto wako ilo somo lingine ).
Ukisha kumuomba Mungu wako akusafishie nyota na manuizio mabaya ya watu.
Kwa kila mkono utakamulia hivo vipande vya ndimu kwenye chombo, kwa pamoja ukiwa umekaa hivohivo. Ukiendelea na manuizo yako.
Kisha kunywa hayo maji ukisema Imekwisha.
Ndimu, huondoa mikosi, kurejesha nyota, kisafisha nguvu hasi za kulishwa au za kunenewa, mbali na kusafisha nyumba, kugundua mtu muongo, au kujua kitu kibaya, kama paka na viumbe wanaoweza kutumiwa vibaya.
Tuwe pamoja.
Sisi ni Afrika tu Umoja.