Mwasapile
JF-Expert Member
- Apr 20, 2020
- 214
- 448
Kuna suala limetrend sana kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wizi wa vifaa vya magari.
Unakuta umepaki gari lako usiku ukija asubuhi unakuta show yote ya mbele hakuna, taa zimetolewa..wakiweza kufungua milango wanatoa power window wanasafisha redio na kila kitu.
Sasa concern yangu ni kwamba katika wizi huohuo unaotrend unafanyika haswa kwa baadhi ya models za magari...mostly ni Toyota na subaru.
Ila kwakweli sijawahi kuona BMW mashine ya kijerumani imenyofolewa show kuibiwa taa na kufumuliwa show ya ndani.
Hili limekaaje!? Ni kwamba BMW haziibiki au!?
Unakuta umepaki gari lako usiku ukija asubuhi unakuta show yote ya mbele hakuna, taa zimetolewa..wakiweza kufungua milango wanatoa power window wanasafisha redio na kila kitu.
Sasa concern yangu ni kwamba katika wizi huohuo unaotrend unafanyika haswa kwa baadhi ya models za magari...mostly ni Toyota na subaru.
Ila kwakweli sijawahi kuona BMW mashine ya kijerumani imenyofolewa show kuibiwa taa na kufumuliwa show ya ndani.
Hili limekaaje!? Ni kwamba BMW haziibiki au!?