V Vitus mkumbee Member Joined Nov 1, 2010 Posts 22 Reaction score 1 Nov 1, 2010 #1 Wizi unaonekana ni wa wazi jimbo la ubungo coz kuna jama ameonekana na makaratasi anataka kuondoka nayo tena akitumia gari binafsi
Wizi unaonekana ni wa wazi jimbo la ubungo coz kuna jama ameonekana na makaratasi anataka kuondoka nayo tena akitumia gari binafsi
Iza JF-Expert Member Joined Jan 8, 2009 Posts 2,045 Reaction score 643 Nov 1, 2010 #2 Embu wasiamshe hasira za Mungu...
Njowepo JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 9,710 Reaction score 2,240 Nov 1, 2010 #3 CCM hawana hayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Amoeba JF-Expert Member Joined Aug 20, 2009 Posts 3,288 Reaction score 791 Nov 1, 2010 #4 Kigogo said: huyo ni Mtendaji wa kata ya Sinza...kadakwa na midokumenti kwenye gari binafsi Click to expand... Haogopi hasira za watu waliochoka?
Kigogo said: huyo ni Mtendaji wa kata ya Sinza...kadakwa na midokumenti kwenye gari binafsi Click to expand... Haogopi hasira za watu waliochoka?
msikonge Senior Member Joined Aug 4, 2010 Posts 151 Reaction score 8 Nov 1, 2010 #5 Kitu haya hakipo hata kidogo, na hii ni moja ya tabia ya kifisadi!
F falesy Senior Member Joined Mar 15, 2006 Posts 105 Reaction score 17 Nov 1, 2010 #6 nadhani ipo haja ya kushughulikia kwanza familia yake nddiyo ajue hakuna mchezo; hakuna mwenye bakora za karibu na vitoto vyake?
nadhani ipo haja ya kushughulikia kwanza familia yake nddiyo ajue hakuna mchezo; hakuna mwenye bakora za karibu na vitoto vyake?
msikonge Senior Member Joined Aug 4, 2010 Posts 151 Reaction score 8 Nov 1, 2010 #7 Itafikia tuchue sheria mkononi tuwashughulikie mafisadi mpaka yashindwe kukaa kwa raha!