Wizkid ajaza ukumbi wa 02 Arena

Domo wao busy kuzalisha east africa nzima..busy kuweka bifu na baby mama zake
Hiyo ndio sifa ya mwanaume halisi. Ukimrengeshea na wewe atakupitia tu,dogo sio mvivu,ili mradi tu usiwe na sura ka kapu la sokoni
 
Sawa sweetie R lazima domo atupitie wote wenye sura kama kapu la dukani
Hiyo ndio sifa ya mwanaume halisi. Ukimrengeshea na wewe atakupitia tu,dogo sio mvivu,ili mradi tu usiwe na sura ka kapu la sokoni
 
Na kwa population tuko less sana kulinganisha na Nigeri
 
Wana roho mbaya kupitiliza. Wabongo hawataki mwingine atusue. Hawajui wizkid mpaka hapo alipofikia,anapata sapot kubwa sana kuanzia kwao Nigeria.
kabisa mkuu,huku kwetu wasanii wetu wamebakia kupata heshima kenya tu,na cku kenya wakiwa na wasanii wakubwa afrika hawatakua na mpango na wasanii wa tz kbs,hapo ndio wakapokufa kifo cha mende wasanii wetu
 
Acha kudanganya watu wewe germany watu walijaa coz kulikuwapo na wasanii wao wengi tu,diamond hata hapa bongo anashindwa na nandy tu kumbuka nandy sumbawanga mwaka huu waliingia watu 11 elfu so nandy kiutafiti yupo juu hapa bongo zaidi ya mond
 
Acha kudanganya watu wewe germany watu walijaa coz kulikuwapo na wasanii wao wengi tu,diamond hata hapa bongo anashindwa na nandy tu kumbuka nandy sumbawanga mwaka huu waliingia watu 11 elfu so nandy kiutafiti yupo juu hapa bongo zaidi ya mond
Kulikuwa hamna msanii yoyote ilikuwa ni One man show tangazo hili hapo.


Hata Huyo Wizkid alisindikizwa na wasanii wengine alafu kitu kama hiki ni kawaida kwani hata akina Beyonce ktk tour zao wanafanya kuwaalika wasanii wengine


Eti Nandy yupo juu kuliko Mondi,endelea kujifariji na kuisubiria ndege Ubungo terminal.
 
Bora ulivyowawekea video sijui watasemaje
Mkuu wamelegea kabisa,alikomaa alifikiri ni utani,ingekuwa sio nauture ya mswahili kubishana tu hata baada ya kuwawekea evidences waliyotaka wangekiri tu tumeshindwa. Baada ya kuwalegeza wameanzisha kitu ingine eti nimwanzishie uzi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…