Yah that could make a big difference if life defeated you before you will never accept defeat againKwenye family background ni kama Mondi na Kiba. Mmoja came from getto life mwingine anatoka ushuani
Bro i support Wizkid i support good Music from everywhereAnaiwakirisha Nigeria sio Africa. Sapot inaipata sana Nigeria na wanaigeria wanaoishi huko nje na vipofu wajinga wachache kutokea kama Tz hivi
👍Bro i support Wizkid i support good Music from everywhere
Soma tena uzi.Kwa nini unasema wabongo tunakwama wapi? Unataka tukajaze 02 ya uingereza ili iweje?
Burnaboy naye anakuja juuMzee Baba tunataka siku moja Mond afanye hivi pale 02 Dunia itajua kuna raia anaitwa Mond kutoka Tz. Ni Davido tu na Starboy ndio waliwahi kujaza pale. Hao tu Wiz karudia tena na kafanya vile vile Sold out all ticket. Imagine afrika nzima vichwa viwili tu ndio vinauwezo wa kujaza.
Mwenyewe anajiita StarBoy. Usiku wa kuamkia leo alikuwa pande za U.K katika ukumbi maarufu wa 02 Arena. Wizkid aliujaza wote (20000) na tiketi zote zilikuwa Sold Out.
Hii inafanya msanii wa kwanza Afrika kuujaza ukumbi huo kwa Back to Back. Yani hiyo ni mara ya pili na mara zote tiketi zilikuwa Sold Out before Concert.
Tumezoea kuiona 02 Arena Ikijazwa na wasanii kama Chris Brown, Beyonce, Rihanna, Ariana Grande, Future n.k
STAR BOY NI MOTO WA KUOTEA MBALI.
Tunakwama wapi wabongo?
Kajitaidi. Mkuu!!! But Starboy ni next levo.Kwenye nyanja ya muziki Afrika na Sehemu zingine. 02 Back to Back si mchezo. Hakuna mwafrika aliefanya hivyo. 02 ni wa dunia
Wizkid ndio alikuwa wa kwanza kuujaza, then akaja Davido. Hii ya juzi Wizkid kaujaza kwa mara ya pili (back 2 back), upo hapo?Haujui kitu # wizkid sio msanii wa kwanza wa africa kuujaza ukumbi huu ata davido ameisha ujaza na ticket zote kuwa sold out tafuta vzr historia utajua
Wizkid ndio alikuwa wa kwanza kuujaza, then akaja Davido. Hii ya juzi Wizkid kaujaza kwa mara ya pili (back 2 back), upo hapo?
Kwahiyo unamaanisha CR7 hana talent?[emoji3][emoji3], Kama huna kipaji hata uwork hard 24 hrs huwezi kuwa kama Ronaldo vivyohivyo kwa DavidoOk ila kwangu mimi kuna wasanii wanigeria walio born talented na wanaofosi na ukisema msanii bora kwangu kwa muda wote ni Burnaboy ndo wakwanza anakuja wizkid na malizia na Patoranking pamoja na mr flavour davido kuwa pale juu nijitihada zake yani yeye ni sawa na Cr 7 anafight sana ila natamani sana kuona BURNABOY akijaza uo uwanja
Duh! Kweli hili balaa mzee 🙌Angalia balaaaaa hili la huyu muhuni StarBoy.
Mnapokosea ndio hapo tu mkuu, jamaa aliweka uzi kuonyesha matusi aliyofanya Wiz na kumpongeza hivyo kama ilikua ni bora mngetoa pongezi tu bila kuanza kulinganisha maana ata mleta uzi hakushindanisha. Mtakoseana adabu bure humu ndaniHiyo ndio sifa ya mwanaume halisi. Ukimrengeshea na wewe atakupitia tu,dogo sio mvivu,ili mradi tu usiwe na sura ka kapu la sokoni
Kwa kuongezea kuna nyimbo za Drake ambazo aliwahi kutungiwa na Burna BoyOk ila kwangu mimi kuna wasanii wanigeria walio born talented na wanaofosi na ukisema msanii bora kwangu kwa muda wote ni Burnaboy ndo wakwanza anakuja wizkid na malizia na Patoranking pamoja na mr flavour davido kuwa pale juu nijitihada zake yani yeye ni sawa na Cr 7 anafight sana ila natamani sana kuona BURNABOY akijaza uo uwanja
Unataka wabongo tukajaze 02 arena Uingerereza ili iweje?Soma tena uzi.
Yah kumbe ulinielewa kk Back to back O2.Wizkid ndio alikuwa wa kwanza kuujaza, then akaja Davido. Hii ya juzi Wizkid kaujaza kwa mara ya pili (back 2 back), upo hapo?