Wizkid & Alikiba watu wabaya Africa (The most wanted)

Kumfananisha wizkid na ally kiba ni kosaa

Hawako sawa hata robo wizkid ni class nyingine kabisaaaa
 
Nasikia wiz kid kawaambia anataka usd 100,000 $ ili afanye kolabo na kibakuli vp mumeshazipata au ndo michango inaendelea??????? na hii inamkwamisha kibakuli kila sehemu kufanya nao kolabo kwa sababu jina lake ni dogo mbona huwa amusemi ????????????
 

Nina wasiwasi na kilichokufanya ufike hapo mkuu
 
Wiz kid sio wakumfananisha na kibakuli wiz kid amechukua Bet ila kibakuli mwisho ktma n hatakuja kupata tuzo yyte ile asee jitu limemuiga dai ad kuishabikia ccm wtf?
 
Nina wasiwasi na kilichokufanya ufike hapo mkuu
Wasiwasi wako tu ila mimi najazia nyama katika habari ya mleta mada kwamba kuna na ili nyuma ya pazia linaendelea mbona hatuhabalishi?????????? ila tatizo itakuwa umeliangalia ktk mfumo wa timu zenu.
 
Uzi wa kufuta machoz na kujifarj ....

Maisha yana mwendo wa kasi sana na mabadiliko ni lazma ....


Cokestudio watu wanarukaruka tu
 
Yaani wewe kweli unamfananisha Wizkid na Kiba..

Duh unamuaibisha Kiba. Jaribu mwingine
 
ALIKIBA KUMILIKI MALI NYINGI :glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Lol.. yaan we mtoa mada umenchekesha. ila nna uhakika MtV hawatorudia tena makosa ya kumuweka huyu overrated kwenye vitu vya maana. Washajifunza
 
kiba na shabiki zake wamelilia tyzo weeeh mpaka wamepewa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…