Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Lagos jana palikuwa na show ya kukata na shoka pale mwamba wa africa adeleji au wizkid alipoitisha show ALIYOIPA JINA YA WIZKID CONCERT show ilikuwa kubwa sana maaana unaambiwa tiket ziliisha saa kumi na ukumbi ukajaa hivyo palikuwa haparuhusiwi mwingine kuingia maget yakafungwa
Kama unavyojua Lagos kwa buhar huwa pana bifu la mda mrefu kati ya DAVID OBIO A.K.A DAVIDO NA ABRAHAM ADEREJ A.K.A WIZKID
WIZKID anatokea familia ya kawaida sana siyo kama mwenzake davido ambaye anatokea familia ya kitajir sana ya mzee OBIO vijana hawa wote waliaanzia mziki kanisan kama waimba kwaya, kumbuka wasanii wengi wa naigeria huanzia mziki kanisan kama kiss daniel, p square na wengine wengi
Wasanii hao wamekuwa mahasimu kitu kilichopelekea kusubilishiana kuachia ngoma mmoja akiachia na mwingine ana achia ili amfunike mwenzake
Davido mara nyingi hutamba sana kwa Lagos lakin wizkid akiachia huwa ana mfunika
Lakin maajabu ya mussa jana kwenye show ya wizkid mnyama davido alipanda jukwaan na kukamua jukwaa moja na wizkid kitu ambacho kimeiacha hoi dunia na lagos kwa ujumla
Davido alipanda na kuamusha shangwe la kufa mtu
Vile vile mtayarishaji wa nyimbo, producer na msanii tecno pia alipanda jukwaan kukamua ile mbaya
Ilikuwa ni noma mazee
Wenzetu wamemaliza tofaut zao wasanii wetu hawatak liishe
LONDON BOY
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Lagos jana palikuwa na show ya kukata na shoka pale mwamba wa africa adeleji au wizkid alipoitisha show ALIYOIPA JINA YA WIZKID CONCERT show ilikuwa kubwa sana maaana unaambiwa tiket ziliisha saa kumi na ukumbi ukajaa hivyo palikuwa haparuhusiwi mwingine kuingia maget yakafungwa
Kama unavyojua Lagos kwa buhar huwa pana bifu la mda mrefu kati ya DAVID OBIO A.K.A DAVIDO NA ABRAHAM ADEREJ A.K.A WIZKID
WIZKID anatokea familia ya kawaida sana siyo kama mwenzake davido ambaye anatokea familia ya kitajir sana ya mzee OBIO vijana hawa wote waliaanzia mziki kanisan kama waimba kwaya, kumbuka wasanii wengi wa naigeria huanzia mziki kanisan kama kiss daniel, p square na wengine wengi
Wasanii hao wamekuwa mahasimu kitu kilichopelekea kusubilishiana kuachia ngoma mmoja akiachia na mwingine ana achia ili amfunike mwenzake
Davido mara nyingi hutamba sana kwa Lagos lakin wizkid akiachia huwa ana mfunika
Lakin maajabu ya mussa jana kwenye show ya wizkid mnyama davido alipanda jukwaan na kukamua jukwaa moja na wizkid kitu ambacho kimeiacha hoi dunia na lagos kwa ujumla
Davido alipanda na kuamusha shangwe la kufa mtu
Vile vile mtayarishaji wa nyimbo, producer na msanii tecno pia alipanda jukwaan kukamua ile mbaya
Ilikuwa ni noma mazee
Wenzetu wamemaliza tofaut zao wasanii wetu hawatak liishe
LONDON BOY