Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,648
- 18,742
Mke wako hamfikii demu wangu kwa vyovyote vile, nipo tayari kukata rufaa!Hamfikii mke wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wako hamfikii demu wangu kwa vyovyote vile, nipo tayari kukata rufaa!Hamfikii mke wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mke wako hamfikii demu wangu kwa vyovyote vile, nipo tayari kukata rufaa!
atume picha ya mke wake na wewe ya demu wako tulinganisheMke wako hamfikii demu wangu kwa vyovyote vile, nipo tayari kukata rufaa!
Daah Labda waweke makalio ya shishi na sura ya mdada maana wabongo mawazo yetu chooni.Hebu wataalamu wa picha tuwekeeni side by side za dada shishii beebii na hiko chumaaa..tufanyee visual analysis
Weka pichaMke wako hamfikii demu wangu kwa vyovyote vile, nipo tayari kukata rufaa!
shishi ampati huyu kitu kipo natural kabisa hiki tofauti na shishi na rangi yake ya dukaniKweli watanzania hampendi vya kwenu.shishi bebi mkaree huyo kina kim tupa kuleee!
Ref: heading ya uziCjaelewa huyo shishi kaingiaje hapa..
anajipa promo maana kaona ile waliokuwa waking'ania kupiga picha walitia aibuMhhhh kwani Shilole alikua Anat na Wizkid ?
Kwan shishi alikua anagongwa na wizkidRef: heading ya uzi
Nasubiri ukanushe kwa picha! namim nijibu mapigo kwa vifungu vya sheriaWeka picha
Tatizo anapenda u star hafu hakula ujana naona bongo kaupata ustar alioutaka naona kwa p square kilibuma wa Nigeria hawashobokei ujinga.Kijana kaopoa binti mrembo wakati huyu mbongo fleva yeye anaangaika na wamama walioachika kwa wame zaoView attachment 391825