samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Nakupendea hapo tu Nifah,sio mnafiki na kwa sasa umekubali kuwa DIAMOND ndio wakulinganishwa na level za kina Wizkid na si mwingine kwa TZ hii. Japo umeongea kwa kuzunguuuuuuka na watu wengi hawata kuelewa.Eeeh bwana eeh angekuwa Diamond tungehama nchi!
Wiz yuko vizuri...hana mbwembwe wala nini.