Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Dem flan hivi, mkali balaaUmenifanya nicheke ndugu, kwani meneja wa king ni nani?
Najielewa ndo tatizoUjapitiwa na bwana pepsi kumbe?
Unadhani hao wanaozalishwa hawajielewi?Najielewa ndo tatizo
wala hiyo siyo sababu na huyo shetani mpunguze kumsingizia.vizuizi vya mimba ni vingi sana na pili hao wanaozaa nao wote hua mameneja wao??davido kazaa na wadada wa3 tofaut same to kiba wiz cjui 2face mifano debe.Unadhani hao wanaozalishwa hawajielewi?
Sometimes mazingira tu we unadhani mtu kama Alikiba kila anapoenda yupo seven mosha wanakula pamoja , wanalala hotel moja, wanakaa usiku wa manane pamoja, unashani shetani atawaacha salama?
Unadhani hao wanaozalishwa hawajielewi?
Sometimes mazingira tu we unadhani mtu kama Alikiba kila anapoenda yupo seven mosha wanakula pamoja , wanalala hotel moja, wanakaa usiku wa manane pamoja, unashani shetani atawaacha salama?
Automatic tu inatokea mzigo umeliwa
Automatic tu inatokea mzigo umeliwa
ohooooooo!!!!Nasikia ndio kisa cha kuachana na jokate manager alikua hapendi kumuona
Ebu tuwekee picha za manager wa Kiba na Wizkid tuwasaminisheDem flan hivi, mkali balaa
Hivi hawa wasanii hawawezagi kuzaa na mtu mmoja wakatulia?
Na hawa wadada wanaozaa nao hawajiskii vibaya kuzaa na mtu ambaye ana watoto wengi wa mama tofautitofauti?naye anaenda anajipachika ndi
Huwa kanajiamini sanaNingependa zaidi kumuona huyo manager.
Wizikid picha zake nyingi uwa za studio inaelekea yeye mtu wa kazi.
Halafu uwa hana muda wa kuomba kupigiwa kura nadhani ni mr dont care kuhusu tuzo
Kweli mkuu nadhan anaamini kwenye mziki wake kuliko kwenye kuomba kupigiwa kuraHuwa kanajiamini sana
Wengine wanataka tu title kazaa na fulaniHivi hawa wasanii hawawezagi kuzaa na mtu mmoja wakatulia?
Na hawa wadada wanaozaa nao hawajiskii vibaya kuzaa na mtu ambaye ana watoto wengi wa mama tofautitofauti?naye anaenda anajipachika ndi
Nasikia wcb wanataka kumuongeza Gigy Money kama meneja waoBahati yake meneja wa wasafi ni mwanaume....
La sivyo ingependeza!!!