Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 261
Tarehe 24 ya mwezi huu mtu mzima Chris Brown anaachia Album yake ya BREEZY,
Mkali huyo wa RnB, Moja kati ya ngoma ni ngoma ambayo amemshirikisha Star Boy Wizkid kutokea Nigeria.
Hii ni Clip fupi ya ngoma ambayo alipost kwenye Insta story, Akiwa na Star Boy.
Huu unyama wa Wizkid ni hatari.
Mkali huyo wa RnB, Moja kati ya ngoma ni ngoma ambayo amemshirikisha Star Boy Wizkid kutokea Nigeria.
Hii ni Clip fupi ya ngoma ambayo alipost kwenye Insta story, Akiwa na Star Boy.
Huu unyama wa Wizkid ni hatari.