Wizkid In Dar: Fursa kwa wasanii wa Bongo


Kibakuli c alisema kafanya collabo na wiz kid Shardcole pwilo
 
Last edited by a moderator:

Wizkid amefanya collabo na radio and weasel japo haikuhit sana africa
 
Aiiseee, we jamaa mbona unajua sana ????? ila nasikia kibakuli keshajitoa muhanga na kuna michango inaendelea ili kamjaa chao kafanye kollabo naye.
 
Hahaaa!sema king kajtahid kufata nyayo..kazama kwa jokate,kaanza urafk na wema,karuka kwa godfather,kashoboka kwa davido na ne-yo,kaenda cock studio,anapga shoo ccm but ziiiiiiiiii

Jtahd kuandika logic next tym
 

asante mkuu kwa kufanya siku yangu iende muruuuua kwa jinsi ulivyomalizia comment yako
 
nampa polwe Ali keyo kaunguza nauli za kukwea ndege na asipate tuzo poleni team kiba na rockstar kiujumla.

Hakwenda naic aljua kama pa2pu,ww m2 gan ucyetaka ushkaj na mwenzio kisa alkukuta then kakuzd mafanikio.
 
Hakwenda naic aljua kama pa2pu,ww m2 gan ucyetaka ushkaj na mwenzio kisa alkukuta then kakuzd mafanikio.

Nahisi anaweza akaanza hta kumchukia ommydimpoz sasahv maana dimpoz anatuzo moja ya kimataifa yeye patupu miaka yote hiyo ya uking zamunda
 
Nadhan tarehe hzo kutakuwa na joto kali la matokeo ya uchaguz mkuu na linaweza kuathiri onesho zima, wangesubiri joto lipoe.
 
Walioandaa hiyo show wako off target kabisa, hawasomi alama za nyakati. Hizo tarehe ndo mihemko ya kisiasa ktk matokeo ya uchaguzi yapo ktk kilele chake.
So lolote linaweza kuibuka ktk hizo tarehe kutokana matokeo ya uchaguzi.
 
Haaah tatizo nyota
Acha uongo kwahiyo huyo msanii wako ni bora kuliko wizkid na davido kisa tuzo maana msanii bora Africa kachukua yy so ni bora kuliko alio wapita???
 
Sema tu jisikie huru
 
Aiiseee, we jamaa mbona unajua sana ????? ila nasikia kibakuli keshajitoa muhanga na kuna michango inaendelea ili kamjaa chao kafanye kollabo naye.
Kiba kiba unaumiza watu huku licha ya tuzo
 
Stress za afrimma
Za afrimaa tuzo za vibanda umiza ndo maana wizkid wanemtoa katika tuzo za mtv kisa hajawapost maajabu haya davido nae kazigomea jamaa ndo anazitumia kupata kiki daa ngoja tuone
 
Nahisi anaweza akaanza hta kumchukia ommydimpoz sasahv maana dimpoz anatuzo moja ya kimataifa yeye patupu miaka yote hiyo ya uking zamunda
Huu uzi ni wa wizkid ila mnamzungumzia kiba how mnamkubali sana sema huko mnafuata udaku tu #wizkid kiba awards is nothing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…