Wizkid na davido waliambiwa waende wa kakataa hawajaenda na mituzo wamewaachia afrimma mituzo yao we umeona hata wamezi post ??Kazigomea wapi
Hajaenda wala haja post chochote kuhusiana na awards by the way he didn't deserve itMe nimemzungumzia davido hapo juu uliposema nae kasusia awards
Huyu wiz anajua ila amekua overrated sana , huyu kaachwa mbali sana na davido na majamaa wengine kibao ila kwa tabia zake ninavyozisikia sijui kama kuna msanii atafaidika na ujio wake hapa bongo
Huyu wiz anajua ila amekua overrated sana , huyu kaachwa mbali sana na davido na majamaa wengine kibao ila kwa tabia zake ninavyozisikia sijui kama kuna msanii atafaidika na ujio wake hapa bongo
Huyu Wizkid Davido anamshinda mbali sana.Davido ana Hits za kutisha sana kama "One of a kind,Gobe,Skelewu na Aye" yanatisha sana.Wizkid wimbo ambao kidogo una afadhali ni Ojuelegba ambao binafsi naona Producer ndo kautendea HAKI.Beat la ukweli.KUHUSU MASUALA YA TUZO TUSEME TU UKWELI HAKUNA MSANII ASIYEPENDA TUZO BALI KUNA WASANII NI WAOGA SANA "USHINDANI" Akiona kuna ushindani sana,atajifanya HATAKI na Wizkid ni mmojawapo
Holla to you're girl, dance with me, show the money, in my bed, pakurumo, Caro, azonto embu kazisikilize izo kazi utajua wiz kid anajua kuliko davido
Aisee hao watu nimejaribu kuwafatilia sana nyimbo zao utube na nyimbo za kushirikishwa, Davido yuko vizuri sana. Hana sauti nzuri but ana melody, kila wimbo wa Davido unasikilizika, Davido na Diamond ndio naona wanaweza kukaa kwenye ligi moja kwenye upande wa melody, Wizkid sio mkali kihivo
Yap wiz kid anajua kuimba ana sauti davido anapiga kelele ila kinachomsadia ni upangaji wa melody katika nyimbo zake ni rahisi kusikika wimbo na tune za nyimbo za david kuliko za wiz kid
Wameshataja kiingilio
Wangesema mapemaa watu wajipange ....sjui awaoni wenzao fiesta wanasemaga mwezi kabla !! Watakula za uso shauri zao......
Holla to you're girl, dance with me, show the money, in my bed, pakurumo, Caro, azonto embu kazisikilize izo kazi utajua wiz kid anajua kuliko davido