BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Swali kwenu wadau,
SWALI: Kati ya Man Fongo na Wiz Kid wakipanda jukwaani nani atamfunika mwenzie kwa performance na kuamsha amsha wananchi??? Hahahaha...
Mpambano huu ni hatari, yaani hata aje Chris Brown mwaka huu kwa Man Fongo atakaa
Proudly Tanzanian
SWALI: Kati ya Man Fongo na Wiz Kid wakipanda jukwaani nani atamfunika mwenzie kwa performance na kuamsha amsha wananchi??? Hahahaha...
Mpambano huu ni hatari, yaani hata aje Chris Brown mwaka huu kwa Man Fongo atakaa
Proudly Tanzanian