Wizkid vs Man Fongo

BABA TUPAC

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
1,527
Reaction score
3,811
Swali kwenu wadau,

SWALI: Kati ya Man Fongo na Wiz Kid wakipanda jukwaani nani atamfunika mwenzie kwa performance na kuamsha amsha wananchi??? Hahahaha...

Mpambano huu ni hatari, yaani hata aje Chris Brown mwaka huu kwa Man Fongo atakaa

Proudly Tanzanian
 
Man fongo ataimba hainga ushemeji, na hauna ndo zinajulikana sidhan akiimba nyimbo zke zingine km tekenya au namtafuta panya ft sholo mwamba km watu wa mwanza wanazijua
Shollo mwamba na young yuda ni wakali kuliko huyu man fongo
 
Man fongo ataimba hainga ushemeji, na hauna ndo zinajulikana sidhan akiimba nyimbo zke zingine km tekenya au namtafuta panya ft sholo mwamba km watu wa mwanza wanazijua
Shollo mwamba na young yuda ni wakali kuliko huyu man fongo
Je angekuwepo Shollo mwamba angeimba singeli yake ipi inayojulikana Mwanza?

Hivi huyu Sholo amewahi kutoa hit inayoifikia Hainaga ushemeji ya man fongo?
 
Je angekuwepo Shollo mwamba angeimba singeli yake ipi inayojulikana Mwanza?

Hivi huyu Sholo amewahi kutoa hit inayoifikia Hainaga ushemeji ya man fongo?
Me nimezugumzia upande wng kuwa namuelewa shollo mwamba kuliko man fongo
Upo mkoa gan?
 
Me nimezugumzia upande wng kuwa namuelewa shollo mwamba kuliko man fongo
Upo mkoa gan?
Mi pia namkubali sana mwamba geu, chuma nondo steel wire, kuliko man fongo (promo zinambeba sana). Sholo anajua, magoma kama sembe tembele, sayona, sina msaada, panya, geto, kazi kazi (kolabo na prof jize) zote ni noma. Ana amsha amsha sana kiukweli
 
Mzigo ukipigwa pale Mbagala Zakheem viwanjani na kusiwe na kiingilio basi StarBoy atakalishwa na Man Fongo ila sasa ukisema mechi ipigiwe pale M City na kiingilio laki basi Man Fongo atajiimbia mwenyewe.
If u know what i mean..[emoji4]
 
Mi pia namkubali sana mwamba geu, chuma nondo steel wire, kuliko man fongo (promo zinambeba sana). Sholo anajua, magoma kama sembe tembele, sayona, sina msaada, panya, geto, kazi kazi (kolabo na prof jize) zote ni noma. Ana amsha amsha sana kiukweli
Kweli yaan man fongo nyimbo zke zingine uwezi zisikiliza maana hazivuti me naonaga anaongea kwny nyimbo zke ila mwamba ngoma zke zote ni kali
 
Je angekuwepo Shollo mwamba angeimba singeli yake ipi inayojulikana Mwanza?

Hivi huyu Sholo amewahi kutoa hit inayoifikia Hainaga ushemeji ya man fongo?
Umalaya wa Watanzania ndio umeipa kiki Hainaga Ushemeji, tafuta wimbo wa Sembe Tembele ft. Mesen na video yake ni ya kimataifa. Oops, Mwamba Geu amefanya wimbo na Mbunge, wimbo bora na inspirational kuliko zote za Singeli.
In Fwakti Man Fongo anapotezwa na wengi tu, pamoja na Mtoto wa Mama Shamte, Dogo Nigga na kadhalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…