Wizkid Wins 2017 BET “Best International Act: Africa” Award

wengine hawa


huyo wizkid hata kupost hajapost.
watu wana dharau....
ila sie hatuna mda huo hata watupe tuzo chooni ilimradi inatujengea fursa tufanye makubwa ,we dont give a Fu.ck
 
Kwakweli Wizkid anastahili kwasasa hakuna wa kumshinda.

Kuna kipindi Diamond aliweza kutoa upinzanzi kwa wiz lakini naona mwaka jana na huu Diamond kapoa kidogo au kajipa mambo mengi sana ya kusimamia wasanii mara pafyumu mara mambo ya uzazi.

Diamond namomba ufikiri pale ulipoishia mwaka juzi ,tunategemea nyimbo na wasanii wa nje ya Africa na pia miondoko uwe unabadili kidogo kubadilisha radha kama wizkid anavyofanya.

Kila rakheri wasanii wetu wote katika kupeperusha bendera ya bongo
 
wengine hawa


huyo wizkid hata kupost hajapost.
watu wana dharau....
ila sie hatuna mda huo hata watupe tuzo chooni ilimradi inatujengea fursa tufanye makubwa ,we dont give a Fu.ck
Wiz Kid toka kitambo alikuwa tuzo anazipotezea mwaka jana akarudi hata kupost post anaposhinda na kuhudhuria tuzo.
MTV Ema walipomfanyia ujinga wa kumpokonya tuzo na kumpa Kibakuli alifuta post zote za tuzo insta

Huyu AKA mara nyingi ashindagi tuzo kule S.A Cassper anamkimbiza akija Africa anakutana n wakina Davido, Diamond n Wiz hana jinsi zaidi ya kujifanya kuzila
 
kujifanya kuzila,kuzila[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kasusia tuzo...
wiz mwaka jana nahisi alizirudisha zote maana sio kwa dharau ile
 
Wizkid alistahili kushinda na hao alioshindanishwa nao wako chini mno,ila DIAMOND ajipunguzie majukumu,ili mwakani na yeye awepo kwenye kinyang'anyiro maana kajitwisha mambo mengi mno kiasi anashindwa kujiangalia yeye mwenyewe.
 
Uko deep, ngoja nipakue hizo ngoma, [emoji109]
 
MSANII WETU DIAMOND MBONA HAWAJAMPA HIZO TUZO...HUO NI UPENDELEO MKUBWA,INBIDI SERIKALI IINGILIE KATI ILI HAKI ITENDEKE
 
Hzo ni tatu tusubri akili ya nne
kwani kuna ubaya mkuu?maana diamond kaimba sana mwaka huu kuliko hata hao wengine huko nnje,inabidi tuunganishe nguvu kama taifa tumpiganie mtanzania mwenzetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…