kiwiko
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 1,341
- 2,214
Huyu kijana yupo Tanzania sahvi. Amejizolea umaarufu mkubwa kupitia channel yake ya Youtube ambapo ameweka juhudi za kutangaza nchi za Afrika kwa dunia ili kuondoa picha mbaya iliyozoeleka huko duniani.
Katika video yake ya kwanza kufika Dar es Salaam ameisifia sana na kupokea sifa nyingi toka kwa watazamaji kutoka mataifa mbalimbali.
Kiukweli anaitangaza nchi na Afrika hivo wizara ya utalii iangalie jinsi ya kumtumia zaidi kutokana na kuwa na watazamaji wengi.
Cha kushangaza amelalamika kwamba amedaiwa aombe kibali ili kuruhusiwa kurekodi video zake.Hapa sijui sheria gani imetumika. Hii sio vizuri kwa mtu anaetaka kusaidia kutangaza nchi yetu.
Anapatikana hapa:
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika video yake ya kwanza kufika Dar es Salaam ameisifia sana na kupokea sifa nyingi toka kwa watazamaji kutoka mataifa mbalimbali.
Kiukweli anaitangaza nchi na Afrika hivo wizara ya utalii iangalie jinsi ya kumtumia zaidi kutokana na kuwa na watazamaji wengi.
Cha kushangaza amelalamika kwamba amedaiwa aombe kibali ili kuruhusiwa kurekodi video zake.Hapa sijui sheria gani imetumika. Hii sio vizuri kwa mtu anaetaka kusaidia kutangaza nchi yetu.
Anapatikana hapa:
Sent using Jamii Forums mobile app