Ni agent wa wazungu to huyo.Theme ya anavyoonyesha yaweza UA utalii.Sababu anaonyesha hivi kuwa nyie wazungu Kama kwenu Kuna maghorofa na Afrika tunayo.Anayapiga picha lakini hizo picha zina destructive image kwa watazamaji mfano unapiga jengo katikati ya jiji lenye ghorofa 20 wakati kwao wana lenye ghorofa Mia moja conclusion mtazamaji kule anayopata ni kuwa watu hao bado primitive Sana ona barabara za Kati
Kati ya mji Kama uchochoro na kwao ndio wanajiona wako juu!!!! Yeye angepiga vitu ambavyo haviko kwa wazingu mfano migodi ya madini,mbuga za wanyama, mashamba makubwa mfano ya mazao ambayo kule kwao hayapo nk.Lakini kuwaonyesha vlle vilivyoko kwao ambavyo vipo Africa naona Ni ujinga tu haisaidii Africa