Wokovu Raha Sana!

Wokovu Raha Sana!

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Tangu niokoke moyo wangu umejaa amani ambayo hapo awali sikuwa nayo. Wala sina tena wasiwasi kuhusu ya masuala yajayo.

Naona kabisa nimejaa matumaini mapya. Hisia zinazotokana na nguvu za giza naona zimenikimbia kabisa. Niko na matumaini mazuri hizi sasa.

Asante Yesu.
 
Tangu niokoke moyo wangu umejaa amani ambayo hapo awali sikuwa nayo. Wala sina tena wasiwasi kuhusu ya masuala yajayo.

Naona kabisa nimejaa matumaini mapya. Hisia zinazotokana na nguvu za giza naona zimenikimbia kabisa. Niko na matumaini mazuri hizi sasa.

Asante Yesu.
Unaeleza raha ya wokovu kwa fake id? Bure kabisa wewe yafaa upigwe makofi 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬
 
Tangu niokoke moyo wangu umejaa amani ambayo hapo awali sikuwa nayo. Wala sina tena wasiwasi kuhusu ya masuala yajayo.

Naona kabisa nimejaa matumaini mapya. Hisia zinazotokana na nguvu za giza naona zimenikimbia kabisa. Niko na matumaini mazuri hizi sasa.

Asante Yesu.
Wana amani nyingi
Tangu niokoke moyo wangu umejaa amani ambayo hapo awali sikuwa nayo. Wala sina tena wasiwasi kuhusu ya masuala yajayo.

Naona kabisa nimejaa matumaini mapya. Hisia zinazotokana na nguvu za giza naona zimenikimbia kabisa. Niko na matumaini mazuri hizi sasa.

Asante Yesu.
Zab 119:165 wana amani nyingi waipendao sheria yako,wala hawana la kuwakwaza.
 
Tangu niokoke moyo wangu umejaa amani ambayo hapo awali sikuwa nayo. Wala sina tena wasiwasi kuhusu ya masuala yajayo.

Naona kabisa nimejaa matumaini mapya. Hisia zinazotokana na nguvu za giza naona zimenikimbia kabisa. Niko na matumaini mazuri hizi sasa.

Asante Yesu.
Amina na Mungu akuongezee imani maradufu....
 
Two faces of the same coin. Ulikua delusional before na bado you're delusional rn.

Wala sina tena wasiwasi kuhusu ya masuala yajayo.

Sema maisha yamekuchapa ume surrender mikono juu.
 
Marehemu peke yake ndio ameokoka, mana huyo hawezi kutenda matendo maovu na kushuhudia uovu utakaomshawishi kutenda uovu.. subiri ufe ndio useme haya
 
Tangu niokoke moyo wangu umejaa amani ambayo hapo awali sikuwa nayo. Wala sina tena wasiwasi kuhusu ya masuala yajayo.

Naona kabisa nimejaa matumaini mapya. Hisia zinazotokana na nguvu za giza naona zimenikimbia kabisa. Niko na matumaini mazuri hizi sasa.

Asante Yesu.
Amina nimefurahia furaha yako.
Kwa Yesu Kuna Aina ya amani na utulivu wa kweli.
Njoni kwangu ninyi nyote mnaosumbuka na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha.
Hayo maneno yalisemwa na mwamba Yesu,Simba wa kabila la Yuda,mwanakondoo aliyechinjwa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu.
Nitampenda daima.amen
 
Tangu niokoke moyo wangu umejaa amani ambayo hapo awali sikuwa nayo. Wala sina tena wasiwasi kuhusu ya masuala yajayo.

Naona kabisa nimejaa matumaini mapya. Hisia zinazotokana na nguvu za giza naona zimenikimbia kabisa. Niko na matumaini mazuri hizi sasa.

Asante Yesu.
Amina, jitahidi usianguke mkuu
 
Back
Top Bottom