PRINCE PRIS
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 347
- 587
Tatizo anatapatapa sana...Kama anajiamini atulie na mwanaume mmoja wafunge ndoa maisha yaendelee, sio kila siku skendo za ajabu ajabu na Kiki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haukosagi cha ku-Comment mkuu. [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tuachie Jose wetu
Ha ha ha siwezi kukosa [emoji1][emoji2][emoji3][emoji23]Haukosagi cha ku-Comment mkuu. [emoji3][emoji3][emoji3]
Ha ha ha siwezi kukosa [emoji1][emoji2][emoji3][emoji23]
Hivi hii nchi ikoje!yaani hawa wasanii na hao wanao jiita mastar ambao wanastahili kuwa kioo cha jamii wamekua uchafu mtupu!Yaani bila kuwa na skendo za uasherati wanona ustar wao haujakamilika!Yaani ni kama wamerogwa, utadhani hawakulelewa na wazazi!Mpaka sasa wanatupa kazi mara dufu ktk malezi maana kila kukicha mara huyu kamwagana na nani,mara huyu kazaa na nani!yaani hadi watoto wanaamini kuwa star maarufu Tanzania hii ni lazima uwe mpenda ngono,mwasherati n.k.Haukosagi cha ku-Comment mkuu. [emoji3][emoji3][emoji3]
Poa poaSafi sana mkuu. Pamoja.