PRINCE PRIS
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 347
- 587
Wolper amesema hawezi kuvumulia ujinga wa kunyanyasika na kuteseka kwenye uhusiano na mwanaume kwa kuogopa jamii kumsema ubaya wakati mkosaji akiwa ni mwanaume
"Kila mtu anatakiwa kuwa na maamuzi yanayo mpa faraja,si kila jambo lazima liwe sawa na mtu mwingine kifikra,kuna baadhi ya wanawake wanajikuta wakinyanyasika kwa kuhofia jamii itawaonaje wakiachana na wanaume wasaliti,ila kwangu haipo hivyo"amesema wolper
"Kila mtu anatakiwa kuwa na maamuzi yanayo mpa faraja,si kila jambo lazima liwe sawa na mtu mwingine kifikra,kuna baadhi ya wanawake wanajikuta wakinyanyasika kwa kuhofia jamii itawaonaje wakiachana na wanaume wasaliti,ila kwangu haipo hivyo"amesema wolper