Wolper afunguka pesa itayogharimu harusi yake

yangu around 2m na mahari bado nadaiwa mwaka wa 10 huu sijalipa!
 
Wastara anatembeza bakuli ili apate hela ya matibabu ilihali wasanii wengine wanatumia mamilion kwenye harusi na wengine wanatoa zawada za magari na mamilion ya pesa. Wasanii badilikeni ninyi ni kioo cha jamiii pamoja na kuburudisha pia mnaelimisha jamii. Acheni mashindano ya fedha onyesheni utu kwa mwenzenu na mtapata thawabu nyingi sana mbele za Mungu
 
Hainihusuu Mkuu mada hii watachangiaa maduuu sio sisi vdummee jamniii
 
Kwahiyo wasifanye sherehe kwavile mwenzao anahitaji msaada,huyo shilole yeye kamuoa uchebe kwa pesa zake...huyo wastara nae alikua analea wanaume bdae tukasikia ni tajiri anamiliki nyumba tabata,carwash na duka la nguo sasa kimfaae mtu chake auze nyumba akatibiwe kuliko kulialia....alitibiwa na sadifa kupona tu akamtupa.aende kwa mama samia amkumbushe fadhila zao kwenye kampeni kua alikata mauno jukwaa akatonesha mguu wke kwa hiyo ccm wamtibu
 
Kampeni ilikuwa ajira na walilipwa kwa kazi yao. Aende kwa Mwakyembe maana 2020 si mbalicwatamhitaji tena
 
Kampeni ilikuwa ajira na walilipwa kwa kazi yao. Aende kwa Mwakyembe maana 2020 si mbalicwatamhitaji tena
Hapo sawa au arudi kwa sadifa si alimtupa alipopona n maneno mengi,pia hiyo 37m anayosema ya matibabu anatibiwa nini mana hata mgonjwa wa cancer appolo kma anapigwa mionzi hamalizi hiyo pesa ni mara chache sana gharama ziwe kubwa hivyo
 
Hapo sawa au arudi kwa sadifa si alimtupa alipopona n maneno mengi,pia hiyo 37m anayosema ya matibabu anatibiwa nini mana hata mgonjwa wa cancer appolo kma anapigwa mionzi hamalizi hiyo pesa ni mara chache sana gharama ziwe kubwa hivyo
Anahitaji miguu mipya nadharia na gharama za physio therapists. Kwa Sadifa hawezi kurudi wote walianikana sana mitandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…