Wolper ampiga kibuti Harmonize, Afuta picha zake zote na za WASAFI

Dogo kapiga ule mzigo daaah...keshaweka muhuri hana hasara, tena ukute kapiga wothout..
 
Nilijua bongo movie tu yaleyale ya akina Nuh mziwanda wanachukua mama zao, wakiambiwa wanatokwa povu, wakiachana wanatunga nyimbo Mara jike shupa et al
Nasubiri nyimbo ya vijembe atakayotoa harmonize juu ya kuachana na wolper najua itakuja tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkataba wa kumpaisha harmo umeisha. Akipata mwingine atamuweka. MUJINI KILA KITU HELA
 
ilitakiwa harmonize ashtukie mchezo amuwahi
Alikua na yy anajiandaa kupost... kuchek bando limeisha..akaamua kumtuma dogo vocha shop, ile anaweka bando tu anakuta amepostiwa kuwa kaachwa... basi ikabidi awe mpole maana dogo alieenda shop kumchukulia vocha ili apost instagram kwamba kamuacha wolper ndo alimchelewesha, basi ikabidi ijulikane hivo[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hahahaja
 
Chapa ilale mwendo wa kuburuza na kusepa harmonize big up anastuka leo wolper ashachea Dusheeeee
 
Eti mmakomde na mchaga wapi na wapi?! Alivyokua anakalia dushe hakujua kama jamaa ni mmakonde. Huyu dada anajishushia hadhi Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…