Wolper amtolea povu Ndikumana kisa Irene Uwoya

Wolper amtolea povu Ndikumana kisa Irene Uwoya

PRINCE PRIS

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2015
Posts
347
Reaction score
587
Ubuyu wote uko hapa
928891d2b829921e9e0f56d529f81e84.jpg

b5249cce6bd9bf77e9bc8677c6d49935.jpg

d664742c40afcfe86f501148b215dcaa.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
4d14ab55a55c18fdb8f0db257d78d0a9.jpg
 
kiki

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Hawa wanawake bwana, inamaana leo ndo wameona jamaa ana sura mbaya.? Inamaana wakati huyo anayemuita shoga pacha wake anamvulia chu** hakuona kama jamaa ana sura mbaya.?
Njaa mkuu!
 
Hawa wanawake bwana, inamaana leo ndo wameona jamaa ana sura mbaya.? Inamaana wakati huyo anayemuita shoga pacha wake anamvulia chu** hakuona kama jamaa ana sura mbaya.?
Ndo maana Mungu alisema muishi na sisi kwa akili
 
Hawa wanawake bwana, inamaana leo ndo wameona jamaa ana sura mbaya.? Inamaana wakati huyo anayemuita shoga pacha wake anamvulia chu** hakuona kama jamaa ana sura mbaya.?
that time mchizi alikua anakipiga huko Cyprus so kuikua uelekeo wa life.nafikiri nae alikua akitamani kua WAG wa mwanasoka nguli
 
Wolper nae mshamba tu,apambane na uvundo unaotishia amani za wanaume anaoingia Nao katika mahusiano. Na akome kuingilia mambo ya watu,kwani uwoya hajaiona hizo post za ndikumana,mbona hajazijibu!!!yeye ndio ana uchungu sana au?? Kapewa jibu zuri sana,jibu mubahsara apunguze kimbelembele
 
Social median, humati sijui zina maana gani?

Sent from Ili iweje
 
Back
Top Bottom