Dr Programmer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 313
- 343
πππππππ
Ndio maana wanapindishwa migongo[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Duh mara hii wolper nae kajipachika u bosslady aiseee
Mweeeeeeeeeeeeeee wolper huyuhuyu au ule mkataba wa kumoa kiki chingaboy ulimlipa sanaMalkia wa filamu Jacquline Wolper Massawe amenunua kopi moja ya albamu ya Gold ya muimbaji Barnaba Classic kwa dola 3000 sawa na tsh million 7
Hayo yamefanyika kwenye listening paty ya albamu hiyo uliofanyika Alhamis hii katika ukumbi mmoja ulio karbu na hotel ya sea cliff masaki jijini Dar es salaam
"Kabla ya mimi kuwa boss lady alikuwa anakuja kwenye event zangu na kufanya show bure. Kwahiyo Barnaba kwangu ni mtu muhimu sana nimenunua hiyo albamu kwa dola 3000 kama kumsuport kwa sababu kwangu ni mtu muhimu" alisema WolperView attachment 852255
Sent using Jamii Forums mobile app
utasubiri sana mwanaharamu weweHawa Kwa Kujikweza na kutafuta Kick hawajambo,yetu macho tunasubria waanze kutembeza bakuli la matibabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
700 nyingi sana mkuu!!Mkuu, ukitoa sifuri mbili itabaki sh 700/-
Tutoe moja tu angalau ibaki 7,000/-
Hahahahaha naona Walper umekuja mwenyewe kujiteteautasubiri sana mwanaharamu wewe
Ndio maana wanapindishwa migongo[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Jr[emoji769]
700 nyingi sana mkuu!!