Wolper anunua kopi moja ya albam ya Barnaba(GOLD) kwa sh milion 7

Okay na mimi mnichangiee ya matibabuhhπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mweeeeeeeeeeeeeee wolper huyuhuyu au ule mkataba wa kumoa kiki chingaboy ulimlipa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakishapata matatizo wataanza kuomba watanzania wawachangie.
Halafu u boss lady kaupata lini??[emoji15][emoji15][emoji15]
 
akiugua malaria kidogo anaanza kulalamika kuwa watu hawamjali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…