Wolper anunua kopi moja ya albam ya Barnaba(GOLD) kwa sh milion 7

Barnaba anabahati mbaya sijawahi muelewaga zaidi ya wimbo mmoja tu ule wa dont call me lover boy na kwenye chorus ya wimbo wa shilole wa shimo la wengi sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
Barnaba anatumia ufundi mwingi sana katika kutengeneza ngoma...wakati gemu la sasahivi aliitaji ufundi mwingi..ukiimba takataka tu kama zile za mr.nice unatoboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…