Wolper anusurika Kupigwa Risasi Kituo cha Mafuta

Wolper anusurika Kupigwa Risasi Kituo cha Mafuta

Pole yake ndio maana mimi huwa naweka kwenye kidumu kisha ndio naenda kuweka kwenye gari, siwaamini hao wafanyakazi hata kidogo ni wezi balaa.
Mkuu naomba unielekeze hicho kituo cha wese wanapokubali vidumu...
 
Ukiona mfanyakazi wa "sheli" anaendelea kukwambia usogeze gari mbele huku wewe unaona mdomo wa tanki umeshafika usawa wa pump stuka!. Shuka kwenye gari simama kwenye pump angalia kiasi cha mafuta na pesa ulichowekewa. Huwa wanawapenda wanaobaki kwenye magari na kuagiza...weka ya 50000....unawekewa ya 500..kisha unaona kulia kama huyo wolper.
 
Back
Top Bottom