witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mkuu naomba unielekeze hicho kituo cha wese wanapokubali vidumu...Pole yake ndio maana mimi huwa naweka kwenye kidumu kisha ndio naenda kuweka kwenye gari, siwaamini hao wafanyakazi hata kidogo ni wezi balaa.