Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
We fuata kilichokuleta humu, ukijua mi nina Mbo Au K wewe itakusaidia nn? Wewe humu umefuata kujua jinsia za watu?Au umeambiwa hili jukwaa la jinsia? Kama umekosea njia pita ivi
Umeona binamu eeh? Hilo nalo la muhimu, isije ikawa fununu, inabid nimtafute kijana wa BOT nimpe hiyo kazi halafu aniambie kama kuna ukweli wowote au ni chuki binafsi.
We fuata kilichokuleta humu,
ukijua mi nina Mbo Au K wewe itakusaidia nn? Wewe humu umefuata kujua
jinsia za watu?Au umeambiwa hili jukwaa la jinsia? Kama umekosea njia
pita ivi
Dah ingawa ni tetesi ila amemloga pabaya.....Dinazarde, Mrembo by Nature, Evelyn Salt, mamakibunju, Heaven on Earth, sister, MankaM nasikia wolper na mwenzake walienda arusha kuchuna buzi, kufika mwenzake akapata bwana wa kizungu, akawa anamuibia midola na kumpa wolper amshikie, basi bhana walivyomaliza kuchuna mabuzi wakarudi dar, nasikia shoga yake wolper akawa anamuomba wolper mi dolali yake , wolper si akawa anazingua , rafiki yake kuona vile ndo akamuendea kwa mganga nasikia, akaenda kumroga wolper sehemu zake za siri ziwe zinatema all the time, ndo apo mambo ya mganga yalipozaa matunda, nasikia ata aoshe na jiki papuchi yake bado kitu kinatema mbaya, ndo maana amekuwa hadumu kwenye mahusiano kutokona na harufu ya ajaNB: Hizi ni tetesi tu , inasemekana , so changanya akili ya kuambiwa na ya kwako, mengine yaache apa ap
Dah ingawa ni tetesi ila amemloga pabaya.....
Mamy hazifai hizo....hata kwa kuitunza...Aisee naitaka hiyo dawaaa na mimi niitunzee tu
unanishangaza una kila tabia ya mwanamke wa uswahilini ila ukiitwa wa kike unakataa unadai we ni wa kiume ndo maana unanichanganya.ila kama kweli ww ni wakiume basi nina hakika utakuwa sio r.i.d.h.i.k.i.....
Mzichange binamu, inabidi niwe Yahaya kwa mda,inabid niwe nimuingie kwa gia nafanyia usalama wa taifa ,soon ataingia mkenge
, Evelyn Salt, nasikia wolper na mwenzake walienda arusha kuchuna buzi, kufika mwenzake akapata bwana wa kizungu, akawa anamuibia midola na kumpa wolper amshikie, basi bhana walivyomaliza kuchuna mabuzi wakarudi dar, nasikia shoga yake wolper akawa anamuomba wolper mi dolali yake , wolper si akawa anazingua , rafiki yake kuona vile ndo akamuendea kwa mganga nasikia, akaenda kumroga wolper sehemu zake za siri ziwe zinatema all the time, ndo apo mambo ya mganga yalipozaa matunda, nasikia ata aoshe na jiki papuchi yake bado kitu kinatema mbaya, ndo maana amekuwa hadumu kwenye mahusiano kutokona na harufu ya aja
NB: Hizi ni tetesi tu , inasemekana , so changanya akili ya kuambiwa na ya kwako, mengine yaache apa ap
roho huwa inaniuma sana nikiona wanawake wanalalamika hawatendewi haki kitandani,
i can play my part but how abt others yaani mjini pamoja na kuwepo booster zote(dawa za za kuongeza nguvu za kiume) still watu wanashindwa kuzitumia kuwaridhisha wapenzi wao kama nguvu za asili kidogo zinawapiga chenga wanataka wasaidiweje sasa?? ayway na nyie pia mna makosa yenu hamsemi kama hamjaridhishwa mnabaki kutafuta option nyingine.pole sana ndo ufanye jitihada za kutuondolea huu ulalamishi
Nyege zako zimekutoa uko
ulipotoka hadi huku kumfuata warumi? Niwe
jinsia yeyote ile sidhani kama wewe hiyo inakuhusu . Fanya yaliyokuleta,
labda kama una lingine mkuu.