wolper/jokate/sintah hawana lolote kamwe hawamkuti wema

wolper/jokate/sintah hawana lolote kamwe hawamkuti wema

Umekuwa msemaji wake ama unataka tujifunze nini kutokana na hiyo habari yako.
 
Unajiita mzalendo unakufa hauna hata mastercard wala american express kwenye wallet...............umri unaenda zinduka acha u zombie wa internet,,,,,,,,,,,,huo uzalendo unakupa sh.ngapi kwa mwezi???..............hustle umsaidie mama yako
 
Usilolijua litakusumbua!!!!!!! Tena sana!!!!!!!!!!!! Kwa taarifa yako mimi ni FAIZA FOXXY NIMERUDI KIVINGINE. ujunior member usikutishe!!!!!!! Nipo humu tangu enzi za jambo forum sema ban tu ndo zinanidogosha

Acha umbwiga na uongo na utoto wako hapa. FF pamoja na uccm wake ni mtu smart na hajawahi shabikia utoto unapata ilia wewe. We unakichwa cha kujifananisha na FF???? Kawadanganye hao hao wasiomjua FF. Nyambafuuuuu
 
Na wewe ulivocomment umefaidika nini? Mi nashare opinion yangu juu ya hawa macelebrity hata kama haikupendezi
Sio vibaya, isipokuwa thread yako iko full bias sijui unathibitishaje hoja yako?
 
Usilolijua litakusumbua!!!!!!! Tena sana!!!!!!!!!!!! Kwa taarifa yako mimi ni FAIZA FOXXY NIMERUDI KIVINGINE. ujunior member usikutishe!!!!!!! Nipo humu tangu enzi za jambo forum sema ban tu ndo zinanidogosha

Dah, kama kweli wewe ni FF ninayemjua basi umefilisika hadi hoja zenye mashiko huna tena.
 
  • Thanks
Reactions: GP
Unajiita mzalendo unakufa hauna hata mastercard wala american express kwenye wallet...............umri unaenda zinduka acha u zombie wa internet,,,,,,,,,,,,huo uzalendo unakupa sh.ngapi kwa mwezi???..............hustle umsaidie mama yako

I had mastercard even before introduced in Tz,when u people started to use ATM?,well talkin about hustling matter of fact im doin so,japo siendeshi range rover but ma life na de sweet ooooh....japo i was in pain ulipomtaja mama yangu coz she is not with us(RIP MOM) but the rest of my family alhamdulilah wanakula na maisha yanasonga fresh...!
 
Usilolijua litakusumbua!!!!!!! Tena sana!!!!!!!!!!!! Kwa taarifa yako mimi ni FAIZA FOXXY NIMERUDI KIVINGINE. ujunior member usikutishe!!!!!!! Nipo humu tangu enzi za jambo forum sema ban tu ndo zinanidogosha

Wb faiza foxy tulikumiss sana
 
Samahani hv Sintah alifikiria nn mpk kujiita J.LO? Kuna yeyote ashamuona live hv karibuni?
Nawasalimu wadau

Jamani nimecheki event ya wema ni noma sijui pesa anapata wapi ila ni noma.

Wolper na muuza unga wake hana lolote, kakalia hicho kigari, jpkate kuvaa miguo myeusi, na sintah hana hata la kumsema.

Wema kweli nilikuwa nakuona ***** bt management ya Kadinda imekubadili, fanya mambo ya maendeleo hii migubegube ya mjini iache iendelee.
 
Acha ushamba MasterCard na American express ndo nini kuna watu mambo yanaenda kwa madafu bila kuwa na akili za kitumwa eti kumiliki hayo makadi ndo kupatia! Kuwa na busara mdau


Unajiita mzalendo unakufa hauna hata mastercard wala american express kwenye wallet...............umri unaenda zinduka acha u zombie wa internet,,,,,,,,,,,,huo uzalendo unakupa sh.ngapi kwa mwezi???..............hustle umsaidie mama yako
 
Na bado Wema atawakunisha vichwa. wakati mnaendelea kubishana hapa kuhusu income yake mwenzenu huyooooooooo anazidi kusonga mbele. Wema mama (kama unaingia humu ) songesha life kumbuka fainali uzeeni. wakati wanaendelea kusugua vichwa vyao kukujadili njoo na lingine kubwa zaidi ya hili wazidi kukuweka vinywani mwao......
 
Yetu macho na masikio,tunamtakia mafanikio mema .
 
umekuwa msemaji wake ama unataka tujifunze nini kutokana na hiyo habari yako.

mi sio msemaji wala mwalimu, mi nimejiropokea tu yaliyo rohoni mwangu, ukitaka kujifunza nenda jukwaa la elimu au uchumi. Na sio kila thread ufungue
 
foxy ni malaya wa porini...........source urban dctionary (a bush prostitute)

sio kosa lako, ni sababu ya kusoma shule za kayumba. Ungesoma english medium ungetumia oxford dictionary
 
Acha umbwiga na uongo na utoto wako hapa. FF pamoja na uccm wake ni mtu smart na hajawahi shabikia utoto unapata ilia wewe. We unakichwa cha kujifananisha na FF???? Kawadanganye hao hao wasiomjua FF. Nyambafuuuuu

Punguza munkari bhbm sikuizi nimeacha siasa na nimechoka ban, ndo maana naishi kibongo fleva, naona tangu niondoke umeota ndevu za ulimi full kuwacontrol watoto wa jf. Kama we si shabiki wa upumbavu mbona umefungua thread ya kipumbavu, mi nalikua nakuheshimu toka umjoin ni miaka 3 na ushee na umetoa hoja za msingi sana sasa kujihusisha na vithread vya upuuzi kama hii unajiaibisha mkuu.
 
Dah, kama kweli wewe ni FF ninayemjua basi umefilisika hadi hoja zenye mashiko huna tena.

Likwanda mtu mbaya sana wewe, wakati nimefungiwa kwa ban na nipo njee ya jukwaa nateseka wewe unajinoma tu utamu wa jukwaa, nimerudi kivingine, matusi no! Siasa pia nooooo! Nipo kwenye entertaiment sector saivi. Tena msinikumbushe enzi za mapambano naweza kulia.
 
Dah, kama kweli wewe ni FF ninayemjua basi umefilisika hadi hoja zenye mashiko huna tena.
Huyo ni Zamaradi, baada ya mimi na Gang Chomba kumfurumusha humu kwa thread zake za kipumbavu kama hizi ndio ameamuwa kuja kivingine. FF hawezi kuwa Kilaza kama huyu pimbi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom