Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
sie sasa kutokuolewa utadhani ni kasoro, wakati ndoa zenyewe purukushani tuKatika eneo ninalowakubali wazungu ni hili la ndoa.
Uwe kwenye ndoa au usiwe kwenye ndoa ni kimpango wako mwenyewe watu hawahukumuniani kwa marital status bali up stairs.
Tena wenzetu ndoa zilivyo na sheria kali za divorce ndio kwanza wazungu hawashobokei kabisa mambo ya ndoa.
mwanaume mashine!!na ndio alikua anamchamba marehemu ndikumana, kwamba ana sura mbaya uwoya alimkubali basi tu....
Sasa ye sijui ndo dah hata sisemi!!!!!
Halaf eti huyu kaka ni engine msanii wa music aliimba cover ya mi sikai kimyaHuyu dada ana hamu sana na ndoa aolewe tu kwakweli aweke rekodi hata akiolewa leo aachike kesho itakua kishaolewa....
Nnachoshangaa usajiri wake ni ndani ya muda mfupi yani ni kata mti panda mti.
Sura ya bwana harusi nimeielewa
Sura sio ya kisanii lakini ha ha haHalaf eti huyu kaka ni engine msanii wa music aliimba cover ya mi sikai kimya
Sura sio ya kisanii lakini ha ha ha
We komaaa!HAHA HUYU KAKA MBAAAAAAYAAAAAAAAAAAAAAAA ATAKUWA MNYAKYUSA NINI? TUNUNU
ha ha ha we ndo bwana harusi mwenyewe nini mbona wajua mambo ya mashinemashine anayo ya kisanii
Ndo maana anakimbiwa nae anajinunulia pete ya kwaniniWolper kaenda hadi kujinunulia pete mchezoo
Panya kafia kati usihangaike huo ndio ukumbushoNdio hivyo sizitaki mbichi hizi zikizidi mwisho wake unaolewa babu kizee!afu huyu si niliskiaga ana sijui harufu ya udi sijui kitu gani vile??!! Embu nikumbusheni
Watu nouma sana...harufu si yake jamani!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio hivyo sizitaki mbichi hizi zikizidi mwisho wake unaolewa babu kizee!afu huyu si niliskiaga ana sijui harufu ya udi sijui kitu gani vile??!! Embu nikumbusheni
wolper mzuri ila sijui ana shida gani huyuKaenda kujichagulia atakayoveshwa siku ya ndoa hahaha
Uzuri wa nje wa ndani je upo?wolper mzuri ila sijui ana shida gani huyu
mi hadi sometimes kale ka ishu ka papuchi nahisi kweli, make haendani na hizo hamu za kuolewa hivo anatumia nguvu mno,na kukimbiwa sasa ana nyota ya kuachwa
We komaaa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Uzuri wa nje wa ndani je upo?
Yaan nahisi alikua hajawahi tamkiwa kuolewa,na pia alikua anafanya show off ili kumuumiza hamonize,,yaan hapo anahisi anamkomoa hamo wakati anaeenda kupambana ndani ya ndoa ni yeye
Mi nashangaa wema,uwoya,wolpa kuolewa na vikapuku,,nilitegemea wataolewa na bonge la bwana,,ina maana wanaume vibopa wanaogopa kuwaoa ama?mpaka wanaolewa na vibenten,,nasubiria wema kama sio hamorapa sijui
nimechunguli kwenye bukta na mwanamke ukiona kaipenda sura kama hiyo jua siri ipo kwenye sita kwa sita.huyo hata hisia anavuta gizani ha ha ni kama ndugu wa wassira!!!ha ha ha we ndo bwana harusi mwenyewe nini mbona wajua mambo ya mashine
Muda ambao wanatokea waoaji wenyewe wanakua bado wanakula ujana, wakishtuka taa nyekundu zimewaka sasa ndo inakua hivi sichagui sibagui yeyote atakekuja halali yakeUzuri wa nje wa ndani je upo?
Yaan nahisi alikua hajawahi tamkiwa kuolewa,na pia alikua anafanya show off ili kumuumiza hamonize,,yaan hapo anahisi anamkomoa hamo wakati anaeenda kupambana ndani ya ndoa ni yeye
Mi nashangaa wema,uwoya,wolpa kuolewa na vikapuku,,nilitegemea wataolewa na bonge la bwana,,ina maana wanaume vibopa wanaogopa kuwaoa ama?mpaka wanaolewa na vibenten,,nasubiria wema kama sio hamorapa sijui