Wolper: Mwanaume atakayeweza kunipa mimba nitamjengea nyumba ya kifahari

Sasa ukimtoa kizazi atapata hyo mimba?
 
Duh ningejitolea tatizo foleni itakua ndefu kwa mwaka itahitaji apite na wanaume 12 ili aweze kujua ila kama amepata.
 
Atakuwa anajijua hana mbegu za kike ndiomaana anauhakika hakuna kidume kitaweza . Ikiwa hana kizazi kwa bahati mbaya Mungu amrejeshee ila ikiwa hana kizazi kwa utukutu wake kisa amaintain urembo wake Vidume vya mbegu tunamgomea na sisi hatutaki kuabika apambane na hali yake
 
Amjengee nyumba kwani yeye hata kiwanja anacho???
 
Mwambieni asafiri mara moja aje hapa Tukuyu.
 
Mimi najiweza,sitaki nyumba wala nini yeye aje
 
Hahahahaaa..
 
Karibu sana Mwakaleli mbeya , A home of fertile Men, utapigwa Bao 15 za kuunga kama intro, Utadaka mimba hata kama Haupo cku za hatari cku hyohyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…