Wolper na Aunty Ezekiel wavuana nguo hadharani, kisa madeni

Siku moja moja pitia hapa kwangu, una kuja "KAlIA..OO" upate hata "sharubati nziitoo" binamu yangu [emoji39]

ndio naishi hapo KARIAKOO binamu[emoji23]

Nije wapi tena Jaman , Nimeolewa mwenzio binamu , unataka kunivunjia ndoa yangu tena [emoji16], happy Easter
 
Nije wapi tena Jaman , Nimeolewa mwenzio binamu , unataka kunivunjia ndoa yangu tena [emoji16], happy Easter
Aahh!! Binamu kwani ww utamwambia shemeji umekuja KAlIA.. OO!???
Ukishamaliza sharubati unafuta midomo vizuuri wala hujulikani
[emoji3]
 
Sasa aunty Kwan anatunzwa na nani, wakat yeye ndo anatunza serengeti boys
Ndio nimemshangaa hapo .

Tangu lini anty akawa mke wa mtu[emoji16]

Yulee Ni mkwe wetu sote watanzania[emoji1][emoji1787][emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…