carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Huyu bibi bado anaweweseka naonaShangaa na wewe
Huyu dogo nilikua namchukulia poa ila anazidi kuniprove wrong tangu wimbo wake wa niambie. Anajua sanangoma tamu sana!
bigup harmonize
MamaHuyu bibi bado anaweweseka naona
Ushafika eehMama
Wolper mwenyewe anataka kiki anaachaje kumjibu kwamfanoNingemuona wolper wa maana asingemjibu aendelee na bff wake kujibishana kama hivyo bado wanapendana utoto tu
Nimefika ndugu naona huku kunanifaaUshafika eeh
Wasituchoshe na kiki zao mana naskia wolper na harmonize bado wanamegana kiselaWolper mwenyewe anataka kiki anaachaje kumjibu kwamfano
Wanapenda attention tu hawaWasituchoshe na kiki zao mana naskia wolper na harmonize bado wanamegana kisela
Atajitambuaje kila siku anatembea na viben 10 nilimuonaga wa maana kipindi yupo na yule mkongoWanapenda attention tu hawa
Ila huyu bibie ifikie kipindi aanze kujitambua kwakweli huku ni kujitia aibu
Kipindi kile kidogo alitulia ila sasahivi mmh hapana kwakweliAtajitambuaje kila siku anatembea na viben 10 nilimuonaga wa maana kipindi yupo na yule mkongo
Naona ndugu yangu hatimaye umekuja na wewe [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila ni kiki ya hiyo nyimbo hawana lolote nyimbo yenyewe walitumiana wenyeweKipindi kile kidogo alitulia ila sasahivi mmh hapana kwakweli
Watu wanasaka kiki kwa pikipikiIla ni kiki ya hiyo nyimbo hawana lolote nyimbo yenyewe walitumiana wenyewe
Wasituchoshe wanamegana kisela huko kiss kiki ya nyimbo yaoWatu wanasaka kiki kwa pikipiki