Wolper wa Congo vs wolper wa makonde

me and I

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
1,540
Reaction score
1,357
Nimeikuta sehemu insta [emoji116] [emoji116]
Hapo ni Congo vs makonde[emoji23] [emoji23] [emoji23]


Hiyo ni Congo


Hiyo ni makonde[emoji23] [emoji23] [emoji23] asee hivi vivulana hivi vinakuzeesha tu
 
Naloona picha zingine zimepitishwa kwenye filter nyingine hazijawa filtered
 
Wolper kanenepa kawa mbayaaaa.
Wala hapendezi tena.
Yaani kanenenpa saaaanaaa halafu hata hajishtukii kabisa , karidhika huyu b dada!amekua mbayaaa anaonekana kama amevimba vimba uso
Au anatumia majira/sindano loo si kwa kunenepa huko ghafla
 
ingia uyaone maajabu ya nyumba yetu! Hahaha pole wolper mmakonde chamaki nchanga uyo utapasuka mama
 
Kitambi kile kinajongea,baada ya miaka miwili mbele kama hakufanya cha maana maishani, imekula kwake..
 
Yaani kanenenpa saaaanaaa halafu hata hajishtukii kabisa , karidhika huyu b dada!amekua mbayaaa anaonekana kama amevimba vimba uso
Au anatumia majira/sindano loo si kwa kunenepa huko ghafla
Hapana hapo alikuw na mkongo ndo alijiachia vile c alijua ashapata mume tena [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
harmonize alipaswa kuwa shule, wolper alipaswa kuwa na watoto sita....

Nashangaa wizara ya mambo ya kusoma inawaangalia tu
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…