Wolper wa Congo vs wolper wa makonde

Weee em tupe ubuyu[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Aise haka kaubuyu nilikatoa kwa mshikaji anaemfanyiaga wolper baadhi ya kazi zake,,,,wolper alikuwa anakaa mikocheni b sasa alivohama na kuhamia k,nyama mayonaise nae alitia maguu na kuanza kusogeza nae siku,,,ila nasikia ghafla jamaa aliondoka na kwenda madalle nj baada ya hbari za mkongo kutia maguu pia kuna pedeshee mmoja ambae alimtoa chadema na kumpeleka ccm,,,nae nasikia aliacha hela na gari naona mayonaise yamemfika hapa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haloo wolper habari nyingine yule hachelewi kukuuza, sorry for nanjilinji boy
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haloo wolper habari nyingine yule hachelewi kukuuza, sorry for nanjilinji boy
Yule dogo kabemendwa hadi huruma,tusubiri anaeza mtungia wimbo[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Aiseeee kumbe hata Mimi nikipaka make-up nitawazidi wengi
 
Kwani nmakonde kumla muarucha chambi,au chababu mimi n'dogo au demu nkali chana nnaona wifu nyinyi?
chacha hata kama mimi n'dogo kwani chipatii kupanda juu? alafu mboni pale kati nnapaona vichuri tu?

Nnanchukuru chana chimba kwa baraka chake,achante kwa uchirikiano wenu.
 
mbona kina dully sykes kitambo kwenye game lakini hzi mambo haziji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…