MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Back again on track trouble maker Lamomy, BonjourMwanamke ni kiumbe kizuri kilichoumbwa kwa mfano wa kupendeza, shida inakuja wanaume the way mnavyowatreat hapo ukishindwa kuishi nae kwa akili lazima awe trouble maker.!!
Inategemea na wanawake sio wote, wanawake wengi ugombana kwa tamaa na majivuno..!!Wanawake hua mna matatizo sana kwenye kuishi na watu wengine.
Wanaume 10 tunaweza kuishi kwenye nyumba moja na kusiwe na mgogoro wowote. Ila wanawake wawili tu hamuwezi ku co-exist.
très agréable, Tu manques 😘Sava triés bien 😊
Nime level up uko nishavuka King 😹
Iyo statement ya kuishi nanyi kwa akili mnaitafsiri vibaya sana, mnaitumia kama justification ya mwanaume kukubaliana na matatizo, utoto, visirani, trauma na ubinafsi kutoka kwa mkewe huku mwanaume uyo akiwa na mawazo kwamba anatakiwa ku-adapt na izo characters mbovu za mkewe.Mwanamke ni kiumbe kizuri kilichoumbwa kwa mfano wa kupendeza, shida inakuja wanaume the way mnavyowatreat hapo ukishindwa kuishi nae kwa akili lazima awe trouble maker.!!
Uko wapi....Us. Men
Tatizo unatumia sana nguvu na hisia kum-control mwanamke.!!Iyo statement ya kuishi nanyi kwa akili mnaitafsiri vibaya sana, mnaitumia kama justification ya mwanaume kukubaliana na matatizo, utoto, visirani, trauma na ubinafsi kutoka kwa mkewe huku mwanaume uyo akiwa na mawazo kwamba anatakiwa ku-adapt na izo characters mbovu za mkewe.
Listen madam, we are not rehabilitation centre, we also deserve the best. Wazazi wako ndio wenye jukumu la kukunyosha na kuishi na wewe kwa akili mpaka utakapokua end-product ndio uolewe.
We got some more serious issues to deal with than your dramas
The opposite of women are purported to be the peace makersIf women are trouble maker who is peace maker ?
Exception cases zipo lakini kiujumla wanawake almost wote wapo ivyo, ni kama watu ambao hawapendi amani idumu kwa kipindi kirefu. Mkikaa muda mrefu bila kukwaluzana mwanamke atatafuta hata sababu ya kipumbavu tu kuanzisha malumbano.Inategemea na wanawake sio wote, wanawake wengi ugombana kwa tamaa na majivuno..!!
Mimi nishawahi kukaa na wanawake wengi wanaojitambua hawako hivyo mlivyjikaririsha.!
The opposite of women are purported to be the peace makers
Natafuta Ajira strikes again...Mwanaume lazima utambue kwamba mwanamke ni taswira ya matatizo, from the first place a woman existed on the earth all she brought along is troubles.
Angalia majanga aliyosababisha Hawa bustanini pale Eden, angalia msala aliokutana nao Samson baada ya kukutana na Delila.
Hauwezi kusikia mume kuwa chanzo cha utengano upande wa familia ya mke, mara zote mke ndie anakua chanzo cha mifarakano upande wa familia ya mume.
Familia itakua na mshikamano, biashara itaenda vizuri, amani itatamalaki lakini akishaingia mwanamke tu katikati kila kitu kinavulugika.
Role inayowafaa wanawake ni kuwa mama wa nyumbani tu, wabakie kuzaa, kulea na kuangalia nyumba. Mwanamke akijumuishwa kwenye mambo mengine kama ufanyaji maamuzi, biashara, uongozi n.k lazima asababishe majanga.
Mwanamke hawezi kuja na solution mezani, women always brings problems, wewe mwenyewe linganisha kipindi ambacho haukua na mahusiano na kipindi ulikua katika mahusiano ni kipindi gani ulikua unaishi bila stress.
Women are trouble maker specialists, they always look for loopholes to cause problems, don't take them seriuos. If you decide to marry her then marry at your own risk.
Hii technique yako haiwezi fanya kazi kwa asilimia 💯.
Ben Carson katika kitabu chake cha Think big kasema njia ya kufanikiwa kuishi na watu ni kuwa NICE
Hii mbinu Mimi nimeanza kui-Apply since 2023 and it is work out
So MTU akiwa trouble maker Mimi siwezi kuwa trouble maker bali nakuwa peace maker .
Ukiwa nice to people basi no body ataku-attack kila akijaribu anashindwa na kuogopa.
Kwa iyo case study mwenye matatizo ni wewe maana ndie ulikua na uhitaji wa kunyoshwa. Kama usingekutana na hao wanaume maana yake ungebaki vile vile. Ndipo hapo sasa tunathibitisha kwamba ile statement ya kutaka kuishi nanyi kwa akili mnaitumia ku-justify matatizo yenu mkifikiri ni wajibu wa mwanaume kuyabeba au kuwanyosha. Kama unanajua una tatizo fulani labda majibu mabaya, kiburi, tamaa n.k ni wajibu wako wewe binafsi kujirekebisha usimsubiri au kumpa ilo jukumu mwanaumeTatizo unatumia sana nguvu na hisia kum-control mwanamke.!!
Ngoja nikupe short story;
Kulikuwa na mwanaume alijitahidi sana kuni shape vile yeye alikuwa anataka, however alichemka sikuwahi kumuelewa kabisaaa tukaseparate, akatokea mwingine akaweza kunishape kitabia kwa njia rahisi na kwa haraka kwa kitu kile kile alichohitaji yule mwingine.!!
Je, hapo unaweza kuniambia nani alikuwa na matatizo kati yetu watatu??
Umetumia mtazamo ambao ni mpana sana...Kwa iyo case study mwenye matatizo ni wewe maana ndie ulikua na uhitaji wa kunyoshwa. Kama usingekutana na hao wanaume maana yake ungebaki vile vile. Ndipo hapo sasa tunathibitisha kwamba ile statement ya kutaka kuishi nanyi kwa akili mnaitumia ku-justify matatizo yenu mkifikiri ni wajibu wa mwanaume kuyabeba au kuwanyosha. Kama unanajua una tatizo fulani labda majibu mabaya, kiburi, tamaa n.k ni wajibu wako wewe binafsi kujirekebisha usimsubiri au kumpa ilo jukumu mwanaume
Hii technique yako haiwezi fanya kazi kwa asilimia 💯
Katibu wa Semina Asante sana....mi nimeondoka na hicho kijipande hapo naenda kukiprint nikiweke sebleni.wewe mwenyewe linganisha kipindi ambacho haukua na mahusiano na kipindi ulikua katika mahusiano ni kipindi gani ulikua unaishi bila stress.
Kuna jamaa alilalamika humu, kamfungulia biashara mke wake kala mtaji na kasema mtaji unaoendesha biashara ni mtaji wake😂Mwanaume lazima utambue kwamba mwanamke ni taswira ya matatizo, from the first place a woman existed on the earth all she brought along is troubles.
Angalia majanga aliyosababisha Hawa bustanini pale Eden, angalia msala aliokutana nao Samson baada ya kukutana na Delila.
Hauwezi kusikia mume kuwa chanzo cha utengano upande wa familia ya mke, mara zote mke ndie anakua chanzo cha mifarakano upande wa familia ya mume.
Familia itakua na mshikamano, biashara itaenda vizuri, amani itatamalaki lakini akishaingia mwanamke tu katikati kila kitu kinavulugika.
Role inayowafaa wanawake ni kuwa mama wa nyumbani tu, wabakie kuzaa, kulea na kuangalia nyumba. Mwanamke akijumuishwa kwenye mambo mengine kama ufanyaji maamuzi, biashara, uongozi n.k lazima asababishe majanga.
Mwanamke hawezi kuja na solution mezani, women always brings problems, wewe mwenyewe linganisha kipindi ambacho haukua na mahusiano na kipindi ulikua katika mahusiano ni kipindi gani ulikua unaishi bila stress.
Women are trouble maker specialists, they always look for loopholes to cause problems, don't take them seriuos. If you decide to marry her then marry at your own risk.
Hivi vitabu tunavyosoma tunatakiwa tujue kwamba vimeandikwa na watu wa ulaya na marekani kwa kufanya rejea ya mazingira yanayowazunguka ambayo ni tofauti ma mazingira yetu, kwaiyo tunavyo-aply yaliyoandikwa tuwe tunachanganya na akili zetu binafsi..
Ben Carson katika kitabu chake cha Think big kasema njia ya kufanikiwa kuishi na watu ni kuwa NICE
Hii mbinu Mimi nimeanza kui-Apply since 2023 and it is work out
So MTU akiwa trouble maker Mimi siwezi kuwa trouble maker bali nakuwa peace maker .
Ukiwa nice to people basi no body ataku-attack kila akijaribu anashindwa na kuogopa.
Hapa umenena vema sana. MkuuMimi naamini katika KARMA kwamba unachotuma kinarudi so ukituma kitu kizuri kitakurudia in different ways
So sio rahisi nitukane MTU au kugombana na MTU mambo mengi nachukulia kawaida Sana.
Hata huyu mtoa mada hajui anachokifanya ku-attack wanawake
Karma is a debt and not favoritism