Kwamba ukitaja hao uliotaja hapo ndio inabadilisha hoja au
Mbona uko very weak kwenye kuattack hoja ya mtu
Badala yake unataka ushind kwa kulazimisha kumuattack yeye?
Kwan wewe hao uliowataja huna?
Je ni nini kinakuvuta kuattack wa wengine?
Nitakujibu kuwa yes maana hata mimi ninaemuita Mama ni mke wa mtu ambae ni Baba na sister angu ni mke pia kwa broo mwingine in the name of inlaw.
Baba na huyo In-law ni wanaume katika umoja wetu.
So wewe au mimi au
Natafuta Ajira kuwa na vinasaba na wanawake hakuondoi uthabiti wa kuyakemea yale tunayoyaona hayapo sawa na kuwaweka sawa Mamen wengine.
Au wewe unadhan akiwa mama yako au sister ako basi anakuwa na tiketi ya kudiserve male and female milleage at once?