Hiyo no.2 Nadhani ingekuwa kusisitiza fursa sawa kwa wote si tu kwa kutetea wasiojiweza au wenye matatizo bali wanawake wote wanavyonyanyapaliwa na mfumo dume. Hii huwapata hata waliosoma, wenye afya na wasio na matatizo simply kwa sababu ni wanawake!
Hili ni wazo zuri sana lakini in a very wrong place. Huwezi kuleta uanaharakati wa ana kwa ana kupitia JF, simply can't work, believe me. Hapa ni mahali pa watu kusemea jambo na umma upate nafasi ya kulichambua na kulifanyia kazi bila lazima ya kuhusianisha ujumbe utolewao na mtu anayeutoa; lakini kwamba tufahamiane sisi ni nani (physically), tukae pamoja na kudai haki zetu the base ikiwa JF, sahau hilo.
Tujiunge au tuanzishe NGO's za ukweli kupambana na mfume dume si kupitia JF!!!