Hii ni nadharia ya ukandamizaji, angalia hapa kwetu bongo wanaoleta matatizo hasa ya ufisadi ni kina nani? Hata hapa jamvini wanaoleta threads zenye kukasirisha ni kina nani? Waacheni mama zetu wamebarikiwa! Tatizo la m2 mmoja lisifanywe kuwa la jamii nzima! Its fallacious, me ukinambia hivyo nitaandamana hadi kesho. Mamangu alipokuwa hai tuliishi kwa amani sana ndani ya familia lakini baada ya kutoka NA KURUDI KWA MUUMBA matatizo kila kukicha. I truly believe that man is the source of problems only that some FEW WOMEN may cause some FEW problems!