Women!!!


Mgumu sana wewe
 
Wake za watu nao wamepagawa na maisha kweli, msimlaumu mlachake tu, na huyo mwanamke anamakosa, inakuwaje asiseme kama ameolewa, mapenzi mengine yanaanzaga ghafla at the first site, na pia kuna three nite stand mkumbuke then mnanogewa ndio mnaanza kuulizana mwenzangu umetokea wapi.......
 

Watu hawataki process ndefu siku hizi,acha yatukute
 
Jamani mlio olewa mkitongozwa mseme mmeolewa mwaya
 
ilibakia tu kukupeleka kwake, ndipo ungejifunza zaidi.
 

Lizzy sometime inaboa bana kuchunguzana maana nikianza kukuuliza maswali mengi utaaanza kuniambia mbona unanichunguza sana
Ila it is better to have aclear picture ya mtu ambaye unaenda kukaa nae sehem au kumvua nguo usije ingia ukakutana na mtu ameweka kisu kiunoni
 
Huyu Lizzy ni noma aise.

Ila bado sikubali. Lazima mwanamke useme marital status yako unapotongozwa. or you should always wear you wedding ring if it not heavy
 
Watu hawataki process ndefu siku hizi,acha yatukute

Ndo hapa sasa...kama mtu anatongoza chap chap naomba nawaache kulalamika kuhusu kukubaliwa chap chap.Ulivyo mrahisi kutongoza ndivyo na wengine walivyo warahisi kukubali.
 
Wala sio...ntakurushia namba ya mtu mmoja hivi anakwenda kwa jina la Da.....y akwambie.

Heheheheheeee nshaongea naye na anasema kakumiss mbaya sana. Kanambia nikwambie atakutafuta baadaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…