PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angalia Clouds na Malkia wa umma. Mtu unajua kabisa huyu full kudanga lakini anadai analima mihogo nchi nzima na ku-export Marekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angalia Clouds na Malkia wa umma. Mtu unajua kabisa huyu full kudanga lakini anadai analima mihogo nchi nzima na ku-export Marekani
Kwa majungu bongo hatujambo, halafu ni wanaume[emoji119][emoji119][emoji119]Unajuaje kama anadanga? Tanzania kwa kukatishana tamaa tu, sio kila mwanamke ni mdangaji.
Kulima hawezi,sema analimisha mihogo!!Angalia Clouds Malkia wa umma. Mtu unajua kabisa huyu full kudanga lakini anadai analima mihogo nchi nzima na ku-export Marekani
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Angalia Clouds Malkia wa umma. Mtu unajua kabisa huyu full kudanga lakini anadai analima mihogo nchi nzima na ku-export Marekani
Inashangaza mno kwa zama hizi za fursa za kibiashara kwann wasipiganie Sheria ya manunuzi ya umma isaidie vikundi vya wanawakeUmeniwahi yaani zaidi ya kushona sare na kupiga picha hakuna jipya na wamama wa kitaa wanaendelea na mishe zao
Kwa Kweli naonaga tu Wanawake wamevaa vitenge,lkn cha pekee sijui.Nimeshangazwa na jinsi siku ya Wanawake inavyosherehekewa hapa Tanzania. Taasisi kadhaa hata zile za kisomi ni kuuza Vitenge na kuvaa kwa Mishono tofauti. Hakunaga lingine? Mbona wenzenu jirani wana mengi wanafanya na kuonekana?
[emoji23][emoji23][emoji23],Kuna mmoja Alikuwa anajigamba kuwa analima mbogamboga na kuuza nchi za Ulaya na America.Angalia Clouds Malkia wa umma. Mtu unajua kabisa huyu full kudanga lakini anadai analima mihogo nchi nzima na ku-export Marekani
Unataka waonyeshe nini?Nimeshangazwa na jinsi siku ya Wanawake inavyosherehekewa hapa Tanzania. Taasisi kadhaa hata zile za kisomi ni kuuza Vitenge na kuvaa kwa Mishono tofauti. Hakunaga lingine? Mbona wenzenu jirani wana mengi wanafanya na kuonekana?