Wonders.....! Most overloaded vehicles in china! Kumbe sisi wanatuchezea kwa vifaa feki!

mkuu kila habari ina jukwaa lake humu jf , habari husika unapost jukwaa husika,

hii ulitakiwa post jukwaa la jamii photos, kidogo kidogo utafahamu

karibu mgeni

ni kweli kabisa mkuu!!


lakini kumbuka mkono mtupu haulambwi...!!

na, mgeni akija mwenyeji hupona japo kwa namna fulani hivi!
 
mkuu una lugha nzuri sana na ya kistaarabu

endelea hivyo hivyo

ni kweli kabisa mkuu!!


lakini kumbuka mkono mtupu haulambwi...!!

na, mgeni akija mwenyeji hupona japo kwa namna fulani hivi!
 
mkuu una lugha nzuri sana na ya kistaarabu

endelea hivyo hivyo

mkuu nashukuru sana.. ila mbona MMU na jukwaa la elimu kwangu hayafunguki? kuna nini?
ama ni kwangu tu ndio kuna tatizo hili?
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,kakajambazi tena!!!!?yereuwiiiiiiii, my Mentor umemuacha wapi mpaka unigee kaka jambazi,jina tu naogopa?
 
Dah we mkali m2wangu!, nielekeze na mimi bac make mgeni!
 
Huuuuuuiiiiiiiiiiii Mpwa habari za ugeni/wenyeji wako? Muzima ya afya weye? hahahahaaaaaa sioni kitufe cha ze LIKE nilitaka nikipige faster sana

ahsante kaka..!! kimerudi sasa waweza ku-like mara mbili mbili!
 
Last edited by a moderator:

Mkuu vip funguo unazo lakini ama umemuachia??maana lara 1 kubwa la maadui ataingia nayo mitini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…