Wonders.....! Most overloaded vehicles in china! Kumbe sisi wanatuchezea kwa vifaa feki!

Wonders.....! Most overloaded vehicles in china! Kumbe sisi wanatuchezea kwa vifaa feki!

mkuu kila habari ina jukwaa lake humu jf , habari husika unapost jukwaa husika,

hii ulitakiwa post jukwaa la jamii photos, kidogo kidogo utafahamu

karibu mgeni

ni kweli kabisa mkuu!!


lakini kumbuka mkono mtupu haulambwi...!!

na, mgeni akija mwenyeji hupona japo kwa namna fulani hivi!
 
mkuu una lugha nzuri sana na ya kistaarabu

endelea hivyo hivyo

ni kweli kabisa mkuu!!


lakini kumbuka mkono mtupu haulambwi...!!

na, mgeni akija mwenyeji hupona japo kwa namna fulani hivi!
 
mkuu una lugha nzuri sana na ya kistaarabu

endelea hivyo hivyo

mkuu nashukuru sana.. ila mbona MMU na jukwaa la elimu kwangu hayafunguki? kuna nini?
ama ni kwangu tu ndio kuna tatizo hili?
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,kakajambazi tena!!!!?yereuwiiiiiiii, my Mentor umemuacha wapi mpaka unigee kaka jambazi,jina tu naogopa?
 
Dah we mkali m2wangu!, nielekeze na mimi bac make mgeni!
 
Huuuuuuiiiiiiiiiiii Mpwa habari za ugeni/wenyeji wako? Muzima ya afya weye? hahahahaaaaaa sioni kitufe cha ze LIKE nilitaka nikipige faster sana

ahsante kaka..!! kimerudi sasa waweza ku-like mara mbili mbili!
 
Last edited by a moderator:
jamani mbona sipati shamra shamra!!!!!!!!!!!?????????????

au hamnijui?

nimepaki hummer H3 hapo nje, nimemuachia kidogo lara 1 apigie picha!!

sasa naomba niwaite mje angalau mnigongee like za kutosha..!!!!!!

wawili wawili tafadhali!!!

1... Madame B + watu8

2... lara 1 + The Boss

3... Mtambuzi + madameA

4.. Kaunga + Evelyn Salt

5.. Mshinga + cataliya

6.. Mamndenyi + General8

7... miss strong + Eiyer

8... Heaven on earth + TIQO

9... Smile + Bujibuji

10.. MadameX + @nyalikihinja

11.. Asnam + smart one

12.. Lady doctor + Zjilala

13... Kongosho + Rafiki Mkweli

14... mimi49 + ulanzi mtamu

15 .... christine ibrahim + Kaka jambazi

16..... Cynthia Chriss + Elli

17. charminglady + Mentor

18... Kaunga + The Boss

19... Simplicity + gfsonwin

and

20..... ladyfurahia + Eli79

The above are our guests of honour....!

NAOMBA NIENDELEE KUITA MAJINA, MPAKA PALE WATAKAPOFIKA..

TAFADHALI UKIONA JIRANI AMA BEST YAKO HAYUPO HAPA, UNAWEZA KUMUITA AJE AJUMUIKE!!

ni hafla tu ya kunikaribisha, sio big party ya kiviile!!

wengineo : Ambitious, LIKUD, Blaine, AshaDii, MBOOYA, God bell, Mr. Wise, golden girl, Wisest man, alitu8, Msamiati, chatts55, BAK, mwekundu, Preta, Fixed Point, kayaman, data, Mr Rocky, Horseshoe Arch, Chocs, double R, HorsePower, life is Short, Angelicious, Kaizer, DEMBA, Erickb52, Pdidy, The secretary, Ablessed, snowhite NA WENGINEO!!!!!

NO RULES!!!!!!!!!! NO REGULATIONS!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
LIKE...... THEN COMMENT !!!!!!!!!!!!!!!!

Mkuu vip funguo unazo lakini ama umemuachia??maana lara 1 kubwa la maadui ataingia nayo mitini
 
Back
Top Bottom