Working hours na idadi ya kuhudumia wagonjwa kwa siku ipunguzwe

Working hours na idadi ya kuhudumia wagonjwa kwa siku ipunguzwe

Sina mood

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
248
Reaction score
1,442
Hawa watu wa kada za afya wanafanya kazi muda mrefu mno 24/7 na wanahudumia wagonjwa wengi sana ndio maana wanachoka sana mwisho wa siku huduma inakuwa chini ya kiwango

Hivyo serikali wawapunguzie idadi ya kuhudumia wagonjwa, daktari mmoja ahudumie wagonjwa wasiozidi 20 kwa siku then asign out aje mwingine.

Pia hii itampa hata muda kuchakarika kwingine maana pesa wanazolipwa ni ndogo kulinganisha na masaa wanayofanya kazi.
 
Point,Ila wagonjwa 20 wachache,fikiria mgonjwa kachukua vipimo vyote,kwa daktari hakai ata dakika tano
 
Back
Top Bottom