Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 18,216
- 12,774
Hiyo itabaki kelele if you can't provide a link to that report. Jifariji nayo kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo itabaki kelele if you can't provide a link to that report. Jifariji nayo kwa sasa
Niletee recent report that says there are less than 28 million people living in extreme poverty in TanzaniaLatest reports ni kwamba tupo middle income na ninyi ndio mafukara ya mwisho kwenye hilo group 🤣🤣🤣
Over 40% could be 40.1% or 41% as it could as well be 99% or even 100%. All those are over 40%. Mbona mnakuwanga wajinga hivi by the way? Umenikumbusha kilaza mwenzako jana who maintained that 40% ukiround off inakuja 50%. Where did you people go to school?
Hata hiyo 50% that you desperately want it to be hujachukua muda wako na ujue ni watu kiasi gani. 50% of Kenyans is 26 million people. This still falls short of 28 million people who live in extreme poverty in Tanzania. Msiforce tufanane tafadhali
Kinyonge sanaHiyo itabaki kelele if you can't provide a link to that report. Jifariji nayo kwa sasa
Tujadiri the latest now, the one you are talking about is the old one, the latest says, "Things in Kenya are worse" Now with Corona, they are more worse; Remember Tanzania hatukufunga mipaka, hatukua na lock down so viwanda vya beer, sigara, biashara za guest house, usafiri etc zote zilikua kwenye pick, kilimo as well hakuna ambacho kilifungwa Tanzania, but you guys kuna baadhi ya biashara automatic zilijikuta zipo down becaus eof lock down, you dont need a university degree to understand that, otherwise unaleta debate za shuleniThat report is just six months old. Ni ya October 2020
Only 12 million people in Tanzania, live in what can be described as extreme poverty... Na hamna mtanzania anayekufa kwa njaa.Over 40% could be 40.1% or 41% as it could as well be 99% or even 100%. All those are over 40%. Mbona mnakuwanga wajinga hivi by the way? Umenikumbusha kilaza mwenzako jana who maintained that 40% ukiround off inakuja 50%. Where did you people go to school?
Hata hiyo 50% that you desperately want it to be hujachukua muda wako na ujue ni watu kiasi gani. 50% of Kenyans is 26 million people. This still falls short of 28 million people who live in extreme poverty in Tanzania. Msiforce tufanane tafadhali
Pale pachafu panaitwaje?Ngoja waje wazee wa kiambuu kutetea hoja.
Leta basi hiyo "latest" kutoka World Bank tuijadili. Yaonekana hiyo iliyoleta which is only six months old sio latest. I am open to any sober discussion. Tuache kutumia hisia kwenye hizi mijadala and let's stick with the truth.Tujadiri the latest now, the one you are talking about is the old one, the latest says, "Things in Kenya are worse" Now with Corona, they are more worse; Remember Tanzania hatukufunga mipaka, hatukua na lock down so viwanda vya beer, sigara, biashara za guest house, usafiri etc zote zilikua kwenye pick, kilimo as well hakuna ambacho kilifungwa Tanzania, but you guys kuna baadhi ya biashara automatic zilijikuta zipo down becaus eof lock down, you dont need a university degree to understand that, otherwise unaleta debate za shuleni
Kwa hivyo wewe hapo Gongo la Mboto unajua zaidi kuliko World Bank? Niletee taarifa ya World Bank ama 7IMF inayosemasema idadi ya walalahoi Tanzania imepungua Kutoka 28 million people in October 2020 hadi 12 million people in April 2021. Tusiwe tunatoa tu maneno kwenye akili zetu ili tu kuendeleza hoja. Hapa tunatumia evidenceOnly 12 million people in Tanzania, live in what can be described as extreme poverty... Na hamna mtanzania anayekufa kwa njaa.
Usifananishe gongo la mboto na uchafu wa kibera .Kwa hivyo wewe hapo Gongo la Mboto unajua zaidi kuliko World Bank? Niletee taarifa ya World Bank ama IMF inayosemasema idadi ya walalahoi Tanzania imepungua Kutoka 28 million people in October 2020 hadi 12 million people in April 2021. Tusiwe tunatoa tu maneno kwenye akili zetu ili tu kuendeleza hoja. Hapa tunatumia evidence
What truth? Kwamba 28 million people in Tanzania live in extreme poverty?Usifananishe gongo la mboto na uchafu wa kibera .
Telling the truth is not a crimeView attachment 1766981
Kuelimisha mitanzania ni Kama kukata mti mbao kwa wembe., balaa, akili zao ziliganda zamani kutokana na propaganda😂😂😂, angalia vile jamaa ni nduazi kishenzi😂😂😂., Hapa ni CONTROL, IGNORE, DELETE!.,😂Over 40% could be 40.1% or 41% as it could as well be 99% or even 100%. All those are over 40%. Mbona mnakuwanga wajinga hivi by the way? Umenikumbusha kilaza mwenzako jana who maintained that 40% ukiround off inakuja 50%. Where did you people go to school?
Hata hiyo 50% that you desperately want it to be hujachukua muda wako na ujue ni watu kiasi gani. 50% of Kenyans is 26 million people. This still falls short of 28 million people who live in extreme poverty in Tanzania. Msiforce tufanane tafadhali
I give up on themKuelimisha mitanzania ni Kama kukata mti mbao kwa wembe., balaa, akili zao ziliganda zamani kutokana na propaganda😂😂😂, angalia vile jamaa ni nduazi kishenzi😂😂😂., Hapa ni CONTROL, IGNORE, DELETE!.,😂
Wenzao wakina onyango wamejiongeza huku,wao acha kina mk washubaze shingo ziwakatikeWakenya wana kipaji cha umasikini
Saidia hawa wenzako kwanza kisha ujisaidieKuna haja ya kuingia front kupigana kwa ajili ya kuwakomboa ndugu zetu wakenya wanakufa kwa ufukara huku ardhi ikiwa imeshikwa na wachache tu' Hawa ni MAFUKARA hata wa kuwaza hawawezi kujua hali yao ila sisi tunaowaona tutadaiwa kwa kutowasaidia