World Bank 2021: Kenya yaongoza duniani kwa ufukara uliopitiliza

Latest reports ni kwamba tupo middle income na ninyi ndio mafukara ya mwisho kwenye hilo group 🤣🤣🤣
Niletee recent report that says there are less than 28 million people living in extreme poverty in Tanzania
 
Hiyo itabaki kelele if you can't provide a link to that report. Jifariji nayo kwa sasa
Kinyonge sana

More than new 5 million Kenyans are into poverty after covid

 
That report is just six months old. Ni ya October 2020
Tujadiri the latest now, the one you are talking about is the old one, the latest says, "Things in Kenya are worse" Now with Corona, they are more worse; Remember Tanzania hatukufunga mipaka, hatukua na lock down so viwanda vya beer, sigara, biashara za guest house, usafiri etc zote zilikua kwenye pick, kilimo as well hakuna ambacho kilifungwa Tanzania, but you guys kuna baadhi ya biashara automatic zilijikuta zipo down becaus eof lock down, you dont need a university degree to understand that, otherwise unaleta debate za shuleni
 
Only 12 million people in Tanzania, live in what can be described as extreme poverty... Na hamna mtanzania anayekufa kwa njaa.
 
Leta basi hiyo "latest" kutoka World Bank tuijadili. Yaonekana hiyo iliyoleta which is only six months old sio latest. I am open to any sober discussion. Tuache kutumia hisia kwenye hizi mijadala and let's stick with the truth.
 
Only 12 million people in Tanzania, live in what can be described as extreme poverty... Na hamna mtanzania anayekufa kwa njaa.
Kwa hivyo wewe hapo Gongo la Mboto unajua zaidi kuliko World Bank? Niletee taarifa ya World Bank ama 7IMF inayosemasema idadi ya walalahoi Tanzania imepungua Kutoka 28 million people in October 2020 hadi 12 million people in April 2021. Tusiwe tunatoa tu maneno kwenye akili zetu ili tu kuendeleza hoja. Hapa tunatumia evidence
 
Usifananishe gongo la mboto na uchafu wa kibera .
Telling the truth is not a crime
 
Kuelimisha mitanzania ni Kama kukata mti mbao kwa wembe., balaa, akili zao ziliganda zamani kutokana na propaganda😂😂😂, angalia vile jamaa ni nduazi kishenzi😂😂😂., Hapa ni CONTROL, IGNORE, DELETE!.,😂
 
Kuelimisha mitanzania ni Kama kukata mti mbao kwa wembe., balaa, akili zao ziliganda zamani kutokana na propaganda😂😂😂, angalia vile jamaa ni nduazi kishenzi😂😂😂., Hapa ni CONTROL, IGNORE, DELETE!.,😂
I give up on them
 
Kuna haja ya kuingia front kupigana kwa ajili ya kuwakomboa ndugu zetu wakenya wanakufa kwa ufukara huku ardhi ikiwa imeshikwa na wachache tu' Hawa ni MAFUKARA hata wa kuwaza hawawezi kujua hali yao ila sisi tunaowaona tutadaiwa kwa kutowasaidia
 
Kuna haja ya kuingia front kupigana kwa ajili ya kuwakomboa ndugu zetu wakenya wanakufa kwa ufukara huku ardhi ikiwa imeshikwa na wachache tu' Hawa ni MAFUKARA hata wa kuwaza hawawezi kujua hali yao ila sisi tunaowaona tutadaiwa kwa kutowasaidia
Saidia hawa wenzako kwanza kisha ujisaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…